Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 756
- 322
na hakuna kuhama hapo mpaka kieleweke.
kama walivyofanya soko la mwanjelwa na iringa naona ccm walikuwa wananalazimisha laana sasa wameipata rasmi
duh jaman soko langu la viatu
We acha tu hapa nlikuwa nimepanga jion niende sokoni maana jana nliona uvivu....ndo basi tena.
Ni taarifa mbaya sana kwa Vijana wa Dar es Salaam. Mitaji yao imeteketea, sijui watarudishaje
Marejesho.
Ova
Inasikitisha sana, mali zilizoungua ni za wanyonge, sijui watapata fidia namna gani.....
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
sie wengine shopping zetu ndio huko huko mliman city sijui msasani mall sio maeneo yetu
.washakuvurugia ratiba
Ukitaka kujua ubaya wa Pride/FINCA ushindwe kurejesha mikopo yao.
hivi na lile la soweto sijui ilikuwaje
duuuuuh!!! hii ndo TZ, kama ina laana vile, karume ipo katikati ya jiji ambapo ndani ya dakika tano fire wanaweza fika na kuzima moto. sasa wenyewe wakipigiwa sijui ndo huwa wanaanza tafuta maji au vip, bora magari yao yakabidhiwe city yawe ya kubebea taka tu, poleni sana wafanya biashara na siye wateja kwa ujumla
nalo maccm walishughurika.
nani kafanya hujuma?