Chanzo cha moto ni nini?
Mungu wangu!dah!poleni wajasiriamali wote wa Karume na wateja wao,nikiwemo,dah!ntafanyia wapi shopping ya madogo dah!ntapata wapi madaluga ya kutesea ndondo za kitaa huku jamani?!
Ndugu zangu wasiopungua 6 wana mabanda hapo. Ee Mungu waepushe na hasara hii manake zile familia zao sijui zitaishije DSM
Kumbe hii serikali dhalimu bado tu inatumia hii mbinu ya kuchoma moto masoko ili kuwahamisha wafanyabiashara ndogondogo....? si mngewaambia tu waondoe mali zao mnataka kufanya maboresho....???......poor CCM
Poleni,ila nadhani ni moja ya strateji za safisha jiji. Palikua kama Kibera slums ya kule Kenya!. Hamieni soko jipya la Machinga complex.
hujuma tu.wametafta namna ya kuwahamisha wameshindwa wakalitia kiberiti.magamba bana
...nyuma ya kompyuta au mbele ya kompyuta?.
Kumbe yule mwekezaji ameshapatikana.?Iringa walisema maharagwe na hapo wanasema hivyohivyo. Jiulize unaipendea nini ccm?
maharage
chanzo cha moto ni nini sasa
easy mkuu, jamaa anatania tu
Serikali ya ccm ndio style yake ya kuhamisha wafanyabiashara ndogondogo refer moshi, mbeya, songea, iringa na sasa ilala
poleni waathirika.......mshukuruni mungu kwa yote...inasemekana chanzo ni mama ntilie lkn c bure hapo kuna lililopo nyuma ya pazia.....