Soko la Karume lateketea kwa moto usiku

Soko la Karume lateketea kwa moto usiku

Pole zao wamachinga
I hope hii itaamsha akili za wanyonge kama ilivyokuwa Tunisia
 
Mungu wangu, pole kwa wote wenye mabanda karume. Kama ni kitu cha kupangwa ili waondoke hawajawatendea haki, ni binadamu wataenda wapi na familia zao?
 
Kumbe hii serikali dhalimu bado tu inatumia hii mbinu ya kuchoma moto masoko ili kuwahamisha wafanyabiashara ndogondogo....? si mngewaambia tu waondoe mali zao mnataka kufanya maboresho....???......poor CCM
 
Moto umezua balaa nibaada ya kuteketeza soko la mitumba karume.Soko la mitumba dar karume limeteketea kwa moto usiku huu na RPC Marieta Minangi athibitisha kutoke kwa hlo tukio la moto ktkt soko la karume hata hivyo chanzo cha moto hakija julikana, poleni sana ndg zetu kwa hayo matatizo.
 
Moto umezua balaa nibaada ya kuteketeza soko la mitumba karume.Soko la mitumba dar karume limeteketea kwa moto usiku huu na RPC Marieta Minangi athibitisha kutoke kwa hlo tukio la moto ktkt soko la karume hata hivyo chanzo cha moto hakija julikana, poleni sana ndg zetu kwa hayo matatizo.

attachment.php



IMG-20140611-WA0004.jpg

IMG-20140611-WA0003.jpg
 
Moto bado ni mkali, unazidii kusambaa na sasa unaelekea Breweries. Usipothibitiwa Mapema utaleta athari kubwa sana.

Hali bado ni tete, Fire walifika katika eneo la tukio na sasa wanaondoka bada ya kukubali kushindwa, hakuna wanachoweza kuokoa.

Nguzo za umeme zinaungua pia.-

Kuna umati wa watu mkubwa, baadhi wanalia kwa uchungu wakiwa wamejishika kwa kukata tamaa.
 
Very sad news kwakweli, dah! Pole zao wahanga, Mungu WA rehema awape faraja na kuwapunguzia machungu.
 
Back
Top Bottom