Daaa, Paoleni Machinga. Je hii nini maana? Ni hujuma au bahati mbaya? Je, Zimamoto wamefika kwa wakati eneo la tukio? Je Hii ya Machinga wa mwanza kukimbizwa na FFU mwanza inauhusiano na machinga wa Dar? Je, ni kweli machinga hawataki kuhamia maeneo waliyopangIwa ambayo yenye miundombinu safi yote na panafikika?