Unaanza kuleta ujinga kwenye mambo ya msingi.
Jambo La Kitoto Mtoto Kumwambia Mtoto Mwenzake, Tunasema Watoto Wanacheza. Jambo La Kitoto Mtoto Kumwambia Mtu Mzima Tunasema Mtoto Anakua Ila Jambo La Kitoto Mtu Mzima Kumwambia Mtu Mzima Hapo Kuna Walakini. Ninyi Mliofikia Hitimisho Kuwa Tukio Hili Lina Mkono Wa Serikali Mnapaswa Kupimwa Akili. Huwezi Kutoa Tuhuma Kama Hizo Kwa Kukurupuka Bila Hata Na Ushahidi Wowote. Mtu Upo Huko Mchambawima Umekaa Nyuma Ya Komputer Eti "eti Serikali Imehusika" Acheni Uchonganishi Pasipo Kuwa Na Ushahidi Wowote
I wanted to say the same...hilu litakua chezo tuu...walitaka pasafishikeHilo ni chezo la muda mrefu,na huko Machinga complex haendi mtu
dah,inatiza huruma,ingawa hawa wamachinga walikuwa wanaudhi kushikashika wanawake bora waondolewe tu kiaina.Yani ulikuwa ukipanga kwenda karume unawaza sijui uvae miba.
Ni taarifa mbaya sana kwa Vijana wa Dar es Salaam. Mitaji yao imeteketea, sijui watarudishaje
Marejesho.
Ova
Yashafika na kusepa. Its too big for them.
Jambo La Kitoto Mtoto Kumwambia Mtoto Mwenzake, Tunasema Watoto Wanacheza. Jambo La Kitoto Mtoto Kumwambia Mtu Mzima Tunasema Mtoto Anakua Ila Jambo La Kitoto Mtu Mzima Kumwambia Mtu Mzima Hapo Kuna Walakini. Ninyi Mliofikia Hitimisho Kuwa Tukio Hili Lina Mkono Wa Serikali Mnapaswa Kupimwa Akili. Huwezi Kutoa Tuhuma Kama Hizo Kwa Kukurupuka Bila Hata Na Ushahidi Wowote. Mtu Upo Huko Mchambawima Umekaa Nyuma Ya Komputer Eti "eti Serikali Imehusika" Acheni Uchonganishi Pasipo Kuwa Na Ushahidi Wowote
Mkuu hapo Sijakuelewa una akili timamu au una hamu tu na matusi k.enge wewe..!! Chadema wanaingiaje hapo?Intelijensia yetu sisi kama geshi la porishi, hawa waliochoma ni CHADEMA.
Tuko pamoja wananchi NSSF tutajenga Karume Tower.
Kidumu . . . .
Intelijensia yetu sisi kama geshi la porishi, hawa waliochoma ni CHADEMA.
Tuko pamoja wananchi NSSF tutajenga Karume Tower.
Kidumu . . . .