Soko la Karume lateketea kwa moto usiku

Soko la Karume lateketea kwa moto usiku

Nchi ambayo matajiri wameshika serikali staili hizi zinatumika sana. Subiri muone nani atauziwa eneo hilohakuna machinga atarudi hapo.
 
Mkuu hapo Sijakuelewa una akili timamu au una hamu tu na matusi k.enge wewe..!! Chadema wanaingiaje hapo?


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Tumia akili zaidi basi ili unielewe zaidi, VP wewe??
 
kwa jiografia ya sasa ya jiji la dsm,ifike tu wakati hata hicho kiwanda cha bia kihame tu maeneo hayo.
 
sipati picha kova atauzaje sura kwenye media kupitia janga hili.nasubiri kwa hamu taarifa ya saa mbili usiku.

Nchi haina kiongozi hata mmoja zaidi ya ujinga tu. Mlipa kodi wa ukweli anaonekana ni takataka kisa watu WACHACHE wameshajaza tumbo zao na sasa wamejisahau. Kitaeleweka TU
 
Hapo wamehamishwa kwa mtindo huo. Ilishawahi kutokea Iringa mama ntilie akabebeshwa lawama aliacha maharage.

Sasa mtu unabaki kujiuliza maharage tu hadi vibanda vyote viungue zimamoto wanafanya nn?
Wanaweza kwenda eneo la tukio bila maji then wanaangalia tu.

Hapo may be serikali tayari wana ramani ya wanachotarajia kujenga. Ila kwanini wawaumize maskini kiasi hicho. Kwa sasa asilimia kubwa ya wafanyabiashara wadogo wadogo wanategemea mikopo, watalipa vipi marejesho? Familia zao zitaishi vipi?
 
poleni waathirika.......mshukuruni mungu kwa yote...inasemekana chanzo ni mama ntilie lkn c bure hapo kuna lililopo nyuma ya pazia.....
 
so sad, Pole sana wahanga wote.
MTAFUTAJI HACHOKI.
 
Oohhh!! Poleni sana machinga wote wa Dar es salaam kwa kuunguliwa na mali zenu na mabanda. Pia niunganishe pole yangu kwa machinga wa Mwanza kwa kipigo kikali walichokipata jana yani hapana kwa kweli serikali inatumia nguvu kubwa kiasi ambacho inavunja haki za binadamu.

Kwa tukio la jana nilivyoona kwa macho yangu yule police akimshushia kipigo machinga wa mwanza tena kwa chuma kikali mgongoni, naomba nguvu hiyohiyo itumike kukamata mafisadi vinginevyo wananchi hatutakaa kimya tunataka majibu toka kwa serikali.
 
Back
Top Bottom