Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Ndg Pasco!!!!
On the other side, amini nawaambieni,
Lowassa is not that bad (Kindly tell us why and how prove ur statement plz?) na wapiganaji are not that clean(Since when those heros are clean??),
nao wanaufisadi wao na agenda zao( Agenda gani mwaga hapa tuone??)
Just to remind u Pascooo labda kule Monduli ndio ana uzuri peke yake laki kwa wilaya zingine za Mkoa huuooo wa Arusha wanamfahamu fika alivyo noma, alikuwa akiwafukuza watendaji bila kuwasikiliza na kawaulize wakandalasi walivyokuwa wakitendwa na na maaamuzi yake na kuweka watu anao wajua wao,
Huyo Sofia Simba ni utata mtupu ni bora ajiuzuli tu ingawa desturi ya viongozi wa TZ hawajiuzuru ng'oooooo hata msemeje
On the other side, amini nawaambieni,
Lowassa is not that bad (Kindly tell us why and how prove ur statement plz?) na wapiganaji are not that clean(Since when those heros are clean??),
nao wanaufisadi wao na agenda zao( Agenda gani mwaga hapa tuone??)
Just to remind u Pascooo labda kule Monduli ndio ana uzuri peke yake laki kwa wilaya zingine za Mkoa huuooo wa Arusha wanamfahamu fika alivyo noma, alikuwa akiwafukuza watendaji bila kuwasikiliza na kawaulize wakandalasi walivyokuwa wakitendwa na na maaamuzi yake na kuweka watu anao wajua wao,
Huyo Sofia Simba ni utata mtupu ni bora ajiuzuli tu ingawa desturi ya viongozi wa TZ hawajiuzuru ng'oooooo hata msemeje