- Huu mkuu ni msimamo wako si unajua hii ni demokrasia, mimi nimeamua kwamba Sophia ni kichaa, mpaka atakapopimwa siwezi kuamini anything she says, na besides maisha yake binafsi si yako wazi kwamba ni kichaa, I mean kuwa na watoto wanne na viongozi wanne tofauti tena wa serikali ile ile it says a lot kuhusu tabia za Sophia na uwezo wake wa kufikiri, kwenye hili mkuu tufike mahali tukubalane kutokubaliana, kwa sababu huwezi kunilazimisha niamini tofauti,
- Waziri wa Takukuru anatakiwa kuongea tuhuma akiwa na facts, yaani ushahidi kwa sababu yeye ni authority ya taifa, sasa anapoanza kuongea midundiko kwenye ishu serious kama hii ya taifa, jawabu la watu wenye akili timamu ni kwamba hawezi kuwa mzima, lazima ni kichaa,
- In this case Sophia ni kichaa kwa sababu kwanza Jeetu, hajahukumiwa popote pale nchini as fisadi, pili Tanzania hatuna sheria inayokataza wananchi au viongozi kupokea michango ya harusi kutoka kwa Wahindi, na tatu Tanzania hatuna sheria inayokataza kupokea michango ya kampeni za urais kutoka kwa Wahindi, na nne kutaka kuwasafisha Lowassa na Rostam watu ambao ni wachafu na hawasafishiki, kwa haya machache ninakubaliana na Malecela kwamba kumjibu Sophia ni kuwa kichaa kama yeye!
- Tanzania sio taifa la wendawazimu kwamba mtu akiamua tu anakufanya fisadi as long as anaweza kusema anything, hapana unasema na facts Malecela amepewa hela Shillingi Millioni 100 za harusi nilimuona anazipokea tarehe flani na mahali flani, zile hela zilikuwa zimeibiwa na Jeetu huku Malecela akiwa anajua, lakini akazipokea anyways na kuishia kumsaidia Jeeetu na one two three na kulitia hasara taifa letu, mkuu all Sophia had to do ilikuwa ni kusema haya tu, ningemuunga mkono mpaka mwisho wa safari na pasingetosha hapa.
Otherwise, ni udaku tu na umetolewa na Kichaa, sasa unajibishana vipi na kichaa, badala ya kumsaidia aende kupimwa? Huu ndio msiamo wangu mkuu, sasa it is up to you!
FMEs!