Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

"Asirudi Dar es Salaam bila kupita Mirembe kupima akili, kwa maana atakuwa amepoteza fursa ya kujua matatizo aliyonayo kichwani kwake," alisisitiza.
Hii ni pamoja na mpambe wake Mwanakijiji
 
Mama Simba proved me right kuwa CCM wote ni mafisadi hakuna mwenye wa kujidai kumnyooshea vidole mwenzake, zaidi ni ishara kuwa akina Kilango walikuwa wakiwazubaisha tu watanzania wakati wao wenyewe vidole vinajielekeza kwao...Mkuu lisemwalo lipo...maana Kilango anakiri kuwa madai hayo yapo muda mrefu na anamshangaa mama simba kwa nini hakuchukuwa hatuwa huku akisahau kuwa alisaidiea yasifike mbali katika ile "kulindana lindana" na "usimwambie mtu".

Nimekuuliza mtizamo wako na maoni yako ya alichosema mama simba. So far naona umejibu kuwa unaamini alichokisema.

Je unaamini kinachosemwa na mafisadi (kama ccm wote ni mafisadi)?
 
Mkuu majibu ya Mwalimu kwa Idd Amin yalikuwa ni damu kwa damu...nani alikuwa kichaa kati yao...aliyemaliza ugomvi kwa shari au aliyeanza shari bila ya ugomvi?
Ya kiwira na Meremeta mwenyewe yupo kikaangoni...tunataka haya ya uswahiba na mafisadi...inasomeka vipi...yaani unamkana shetani na huku ukicheza ngoma yake...hapo vipi mkuu?


- Hapo kwenye wekundu umenifurahisha sana, saafi sana Malecela hana sababu ya kumjibu kichaa, either ni mwizi au sio uamuzi ni wako lakini kama una akili huwezi kubishana na kichaa, unless amalize kupimwa kwanza!

Respect.


FMEs!
 
Nimekuuliza mtizamo wako na maoni yako ya alichosema mama simba. So far naona umejibu kuwa unaamini alichokisema.

Je unaamini kinachosemwa na mafisadi (kama ccm wote ni mafisadi)?
narejea tena kwa ufupi kuwa alichosema Mama Simba ni imani yangu isiyoshaka hata chembe ikibidi kuwa CCM WOTE NI MAFISADI...
 
Wadau hii kamati itatoka kapa. Haitapata mafanikio yaliyokusudiwa, badala yake wabunge watavunjika vipande vipande mbele yao.
Alah kumbe bado makovu ya ugombea wa 2005 yanaendelea? Wakitoka huko wanatuambia sisi m wameshapatana na kuvunja kambi! kumbe uongo sio?
Ebu FMES na kibunango, leteni habari basi kumbe makundi bado yako kwenye chama chenu? Hizi ni habari toka Ikulu bwana tena kwa JK mwenyewe.


- Una maana Chadema hakuna makundi mkuu au? Kwani tatizo hapa ni makundi au ufisadi?

Respect.


FMEs!
 
Wadau hii kamati itatoka kapa. Haitapata mafanikio yaliyokusudiwa, badala yake wabunge watavunjika vipande vipande mbele yao.
Alah kumbe bado makovu ya ugombea wa 2005 yanaendelea? Wakitoka huko wanatuambia sisi m wameshapatana na kuvunja kambi! kumbe uongo sio?
Ebu FMES na kibunango, leteni habari basi kumbe makundi bado yako kwenye chama chenu? Hizi ni habari toka Ikulu bwana tena kwa JK mwenyewe.
Hakuna makundi, kuna watu wamelewa na siasa za online, sasa hawana budi kupimwa Mirembe, kituo pekee hapo Bara baada ya Kidongo chekundu Zenji
 
narejea tena kwa ufupi kuwa alichosema Mama Simba ni imani yangu isiyoshaka hata chembe ikibidi kuwa CCM WOTE NI MAFISADI...

Good.

Je unakubaliana na mzee malecela kuwa vichaa inabidi wakapimwe mirembe?
 
- Tatizo siwezi kukujibu mtu mmoja na multiple IDs, kwa hiyo unaweza kuendelea nitajitahidi tu kukuelimisha inapobidi, pole sana mkuu!

- Halafu maneno ya kuwakwepa vichaa ni mazito sana na yanahitaji kuzingatiwa maana sio siri na humu tunao pia!

Respect.


Hapo ukweli umeshaingia, ila kama tujijuavyo, lazima utatafuta sababu,
FMES sina tatizo na wewe ndugu, japo una kale karoho ka CCM damu

FMEs!

So far umefukuza wangapi?

Record yako si mchezo - posts 8 tu umefukuza wengi hapa JF. Nategemea mwisho wa siku leo utakuwa umefukuza wanachama 50.

Rule number 3, Do Neither believe nor confirm everything you have just heard.

Hapo juu umeshaconfirm, hii inadhihirisha IQ yako ndogo

Tatizo lako hapa umeshachukua side wewe uko upande wa Mengi na Malecela, kesho utawaruka!

Forums ni discussion na sio kuchukua side wala ku-confirm ulichosikia

Haya hapo juu nimesema nishafukuza watu umeshaamini, haya sasa sijawahi kufukuza watu

Rules are simple, I just need your attention!

uanataka rule number nne? ya JF??

Nikimaliza utakuwa umeshabadilika! uwe mpole na msikivu
 
narejea tena kwa ufupi kuwa alichosema Mama Simba ni imani yangu isiyoshaka hata chembe ikibidi kuwa CCM WOTE NI MAFISADI...

- Mkuu waziri wa Usalama wa Taifa, kutoka ofisi ya Rais wa jamhuri, anapoambiwa na raia anayemtuhumu kwa ufisadi kwamba ana kichaa, na akashindwa kumfanya lolote yule raia basi kuna tatizo sana kwenye hiyo serikali.

Respect.


FMEs!
 
Wana ndugu nimesoma gazeti la tanzania daima leo nimeshtuka sana baada ya kupaata mfadhaiko yale yaliokuwa ndani mwake pale mama sophia simba waziri wetu tunaemtegemea kwenye uongozi bora anaposema hakuna asie fisadi kwenye chama cha majambazi...hakika najuta kupigiia kura shishiem akiamungu...bado nahisi nimesoma thread nyingi zimeshamwasha huyu mama jamani naomba tukae chini tuangalie na huyu rais wetu anaeteua hawa watu kisa tu ama amesoma nae ama alimpa kitu fulani ujanani...tufungue mawazo ya huyu rais kwanza kabla ya kummaliza kwa huyu bibie...nimeamini kweli yawezekana ana maradhi yanamsumbua
 
Rule number 3, Do Neither believe nor confirm everything you have just heard.

Hapo juu umeshaconfirm, hii inadhihirisha IQ yako ndogo

Tatizo lako hapa umeshachukua side wewe uko upande wa Mengi na Malecela, kesho utawaruka!

Forums ni discussion na sio kuchukua side wala ku-confirm ulichosikia

Haya hapo juu nimesema nishafukuza watu umeshaamini, haya sasa sijawahi kufukuza watu

Rules are simple, I just need your attention!

uanataka rule number nne? ya JF??

Nikimaliza utakuwa umeshabadilika! uwe mpole na msikivu

Kumaliza hapa ni kupumuliwa au nini?

Huna haja ya kuomba attention ya yeyote yule, the minute umesema kuwa unapumuliwa na ZItto na Omarilyas ilitosha kuvuta attention ya wana JF.
 
wale wanaodhani kuwa wanaficha hisia zao za mapenzi yao kwa ccm wanaweza kuwa vichaa zaidi ya Idi Amini na Mwalimu combined.
Mkuu ww hujuwi furaha yangu kwa kauli ya mama Simba kuna mtu nilikuwa nikimwambia kuwa haiwezekani kiti moto cha Spika Sitta katika kamati kuu, Dodoma kuwa JK hajahusika...kaja ku-prove badae kuwa JK was behind all the sucus...nikiamwambia kuwa hizi kelele za akina Kilango,Malelecela, Mwakyembe,Mengi na wenzao ni uzushi tu na kuzubaishwa kwa watanzania CCM lao moja wanazidiana kwa uzito wa tonge na kusukumia tumboni...leo tumeona vijidalili vya wazi kutoka kwa CCM wenyewe kuwa CCM YOTE INANUKA UCHAFU WA UFISADI
 
Mkuu ww hujuwi furaha yangu kwa kauli ya mama Simba kuna mtu nilikuwa nikimwambia kuwa haiwezekani kiti moto cha Spika Sitta katika kamati kuu, Dodoma kuwa JK hajahusika...kaja ku-prove badae kuwa JK was behind all the sucus...nikiamwambia kuwa hizi kelele za akina Kilango,Malelecela, Mwakyembe,Mengi na wenzao ni uzushi tu na kuzubaishwa kwa watanzania CCM lao moja wanazidiana kwa uzito wa tonge na kusukumia tumboni...leo tumeona vijidalili vya wazi kutoka kwa CCM wenyewe kuwa CCM YOTE INANUKA UCHAFU WA UFISADI

Inafurahisha sana kuona kuwa ccm imechafuka ila wewe tayari una upande?
 
Nimeisoma na kuisoma na kuisoma hii article, nikaitafakari na kujiuliza- hivi mtu asiyekuwa na akili timamu anaweza kuteuliwa kuwa waziri na mtu mwenye akili timamu? Jamani haya si matusi indirectly kwa aliyempa Simba hicho cheo?
 
Mkuu ww hujuwi furaha yangu kwa kauli ya mama Simba kuna mtu nilikuwa nikimwambia kuwa haiwezekani kiti moto cha Spika Sitta katika kamati kuu, Dodoma kuwa JK hajahusika...kaja ku-prove badae kuwa JK was behind all the sucus...nikiamwambia kuwa hizi kelele za akina Kilango,Malelecela, Mwakyembe,Mengi na wenzao ni uzushi tu na kuzubaishwa kwa watanzania CCM lao moja wanazidiana kwa uzito wa tonge na kusukumia tumboni...leo tumeona vijidalili vya wazi kutoka kwa CCM wenyewe kuwa CCM YOTE INANUKA UCHAFU WA UFISADI

- CCM inanuka kama tunavyonuka wabongo wote tunaoichagua for the last 47 years, kusema sema kwa kichaa ni rahisi sana, tatizo ni ushahidi.

Respect.


FMEs!
 
Nimeisoma na kuisoma na kuisoma hii article, nikaitafakari na kujiuliza- hivi mtu asiyekuwa na akili timamu anaweza kuteuliwa kuwa waziri na mtu mwenye akili timamu? Jamani haya si matusi indirectly kwa aliyempa Simba hicho cheo?
Mkuu,
Majizi yakitofautiana katika kugawana huanikana kweupe..ndo tulichokiona hapa.
 
Lugha zingine bwana ... Ugonjwa wa akili ni ugonjwa na ni majaaliwa. Watu wengi tu wana majirani, watoto, ndugu etc. wenye magonjwa ya akili. Sasa mtu mzima kama huyu anapotumia ugonjwa kama kejeli haipendezi.

Siyo kwamba namtetea Simba
 
Back
Top Bottom