Huu ni uozo wa kifikra kwa sisi wanawake. Tuelimike! Tunda tuwape sisi na tulete taabu duniani kisha fedha watupe sisi kutatua laana tulizozileta kuleee Eden? How come. Kila mtu afe lake na responsibilities zake. Criteria ya wanawake kudai fedha ni nini ikiwa wote wanakaa darasani na kupata kazi na mishahara sawa. Kama mtu akaa kigoigoi hajishughulishi aende magoti huko kuna fedha kibwena. Tusiwasumbue wanaume kila mara na kufanya hii dunia chungu kwao, hata life expectancy ya wanaume duniani ni chini kwa sababu ya wanawake - too stressful to be loved!