Sms iliyoniumiza kupita zote

Sms iliyoniumiza kupita zote

hahaha aisee hata siamini nasoma haya. kuna mshkaji mmoja mhandisi, afu anapenda kutongoza hadi vivuli. nilimshangaa kuna siku analalamika washkaji tunamkimbia. aisee jamaa hachangii bill. yaani never like ever uwiii. bill ikija anaongeaaaaa mnatoa hela hadi inatosha. mkisema tuondoke anauliza mbona hawaleti bill. mi huwa namjibu hapa pombe na chakula ni bure. na kila siku anauliza the same question! uanze kuvaa brazia ili uweke nauli kwenye manyonyo na wewe hela zako ziwe karibu aisee, utalipiwa mjini afu iwe soo lol!
hahahaaaaa,inamaana hiyo bill ilikuwa inakuja kimyakimya mpaka awe anauliza,kweli ubahiri ni kipaji
 
hapo kwenye bold! hata kama alitaka kupeleka barua ya posa kwa mtu mwingine huku ana mpenzi mwingine?

uliyoyasema ni kweli, na imekuwa kawaida kwa wadada kuhamishia responsibilities zao kwa wanaume

ila mi naona kuna tatizo la communication kati ya hao wapenzi wawili. kwanini asiwe huru kusema sina nauli. inaonekana mrembo hayupo huru kwa Jul.

pia Jul, hana mapenzi ya dhati kwa huyo bidada. nahisi ni spare tyre yake tu (labda julius mahinya aliweke hilo wazi.
mpz katuma msg anaumwa, mwanaume anayejali atapiga simu kuulizia mwenzake anaendelaje, katumia dawa gani etc, kuonyesha anajali. sasa huyu jamaa yeye katuma sms akisema pole tu, kashindwa hata kuuliza mwenzie anaendeleaje?

kapeleka posa kwa mwanamke mwingine?? wkt ana mpz mwingine. hapo lazima mmoja anadanganywa, na ni huyu aliyetuma sms

Well said, tunakosea jambo moja, --- kuchagua lazima uwe na vitu zaidi ya kimoja na hii ni haki yake. Anayeoa kwa desturi ya Kitanzania ni mwanaume na yeye ndio mwenye maana zaidi ya kuchagua kwani akikosea amekosea nyumbani kwake. Kimingi mwanmke anaweza kuishi na mwanaume yeyote lakini mwanaume hawezi kuishi na mwanamke yeyote. Period! Choice is yours!
 
hapo kwenye bold! hata kama alitaka kupeleka barua ya posa kwa mtu mwingine huku ana mpenzi mwingine?

uliyoyasema ni kweli, na imekuwa kawaida kwa wadada kuhamishia responsibilities zao kwa wanaume

ila mi naona kuna tatizo la communication kati ya hao wapenzi wawili. kwanini asiwe huru kusema sina nauli. inaonekana mrembo hayupo huru kwa Jul.

pia Jul, hana mapenzi ya dhati kwa huyo bidada. nahisi ni spare tyre yake tu (labda julius mahinya aliweke hilo wazi.
mpz katuma msg anaumwa, mwanaume anayejali atapiga simu kuulizia mwenzake anaendelaje, katumia dawa gani etc, kuonyesha anajali. sasa huyu jamaa yeye katuma sms akisema pole tu, kashindwa hata kuuliza mwenzie anaendeleaje?

kapeleka posa kwa mwanamke mwingine?? wkt ana mpz mwingine. hapo lazima mmoja anadanganywa, na ni huyu aliyetuma sms

Well said, tunakosea jambo moja, --- kuchagua lazima uwe na vitu zaidi ya kimoja na hii ni haki yake. Anayeoa kwa desturi ya Kitanzania ni mwanaume na yeye ndio mwenye maana zaidi ya kuchagua kwani akikosea amekosea nyumbani kwake. Kimsingi mwanamke anaweza kuishi na mwanaume yeyote lakini mwanaume hawezi kuishi na mwanamke yeyote. Period! Choice is yours!
 
sijamjibu, japo alinipigia kujua kama nimepata sms yake nikamjibu ndio na nikaahidi kujibu! ila nasubiri kasafiri leo akirudi tu next week ntaomba maongezi naye na si sms! ntamtoa out tuongee!

omba kabisa ,mwambie unahitaji kuongea naye,unazpozidi kuchelewa nachukulia kama hujali....changamka kaka
 
Kwanza shukuru, kwan huyo ni msichana mwenye uelewa sana tofauti na wa kwetu. Kwan wa kwetu hata mbele ya kadamnasi anakuomba pesa. Lakn wa kwako anakuambia next what happened. Hivyo kuwa na juhudi nae kabla ya kuchange mawazo. Jitahidi safari nyingi ikucost wewe si yeye. We mwambie kwamba hakuna binadamu anaejua kosa lake bila kuambiwa amekosea. Na ajue kuwa wewe ni binadamu tena tofaut na mitume wenye uelewa zaid. Halafu umuahid kujirekebisha na asitegemee kutokea tena tatizo hilo.
 
kuwa na mapenzi ya kweli,kama una MTU Wa ndoa yeye mwambie Wa kuzugia tu.

Ni vigumu sana kujua mke wako ni nani kabla hujaoa! Pia kuwa na mtu kwenye mahusiano haimanishi ndio utamuoa yeye, kuoana ni malidhiano ya pande zote mbili ila kama hamjawahi kuliongelea sidhani kama ni busara kumulaumu mwenzio pindi usikiapo anataka kumuoa mtu tofauti labda kama angesikia nina mpenzi mwingine!
hata hivyo nimeelewa anahitaji ndoa sasa ni wakati mwafaka nami kuzingatia mtazamo wake kwa kuwa sasa namfahamu kwa kiasi kikubwa kuliko hapo awali!
 
Back
Top Bottom