Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 507
Mwanamke wa kukaa na vitu moyoni sio kabisa. Mi mke wangu nimemfanya kama rafiki, yupo wazi sana nami pia. Japo mikwaruzano ya hapa na pale haikosekani.
You well said kaka. That is it. Keep it up! Ulimbukeni wa mapenzi. Kwa kifupi ni infatuation ambayo ni kupenda kwa kutokujitambua zamani wanasema limbwata. Unakuwa jinga na kila saa na dakika unamuwaza mtu mwingine na hata unajisahau mwenyewe. Mbaya sana. Huu ni utumwa katika mapenzi.