julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
- Thread starter
- #121
hapo kwenye bold! hata kama alitaka kupeleka barua ya posa kwa mtu mwingine huku ana mpenzi mwingine?
uliyoyasema ni kweli, na imekuwa kawaida kwa wadada kuhamishia responsibilities zao kwa wanaume
ila mi naona kuna tatizo la communication kati ya hao wapenzi wawili. kwanini asiwe huru kusema sina nauli. inaonekana mrembo hayupo huru kwa Jul.
pia Jul, hana mapenzi ya dhati kwa huyo bidada. nahisi ni spare tyre yake tu (labda julius mahinya aliweke hilo wazi.
mpz katuma msg anaumwa, mwanaume anayejali atapiga simu kuulizia mwenzake anaendelaje, katumia dawa gani etc, kuonyesha anajali. sasa huyu jamaa yeye katuma sms akisema pole tu, kashindwa hata kuuliza mwenzie anaendeleaje?
kapeleka posa kwa mwanamke mwingine?? wkt ana mpz mwingine. hapo lazima mmoja anadanganywa, na ni huyu aliyetuma sms
Nampenda sana kwa namna alivyo tena sana, anaonekana mwenye aibu kwangu sana ila kifupi anapenda kuniona nafurahi muda wote! skupeleka posa ila nilitaka na hii ni kwa historia yetu ya kukutana na kufikia tulipo sikua namfahamu kivile maana tulikutana kimjini mjini sikufikiria mwanzoni ni mtu sahihi kuwa mke bt kimapenzi niliona yuko sahihi! ila sasa nasema nampenda mno na ndio maana nimeumia kuliko hata nilipopigwa kibuti!