Sms iliyoniumiza kupita zote

Sms iliyoniumiza kupita zote

jitahidi kumfanya awe muwazi kwako ili muwezi kwenda sawa kwa sababu we unaonekana ujitambui nafasi yako.....
 
jitahidi kumfanya awe muwazi kwako ili muwezi kwenda sawa kwa sababu we unaonekana ujitambui nafasi yako.....

sijui lakini watu wengine wanavyochukulia mapenzi na majukumu na pengine nahitaji kujifunza kutoa fedha na pengine kutatua shida bila kuombwa wala kuelezwa!
 
Yaani muda wote mnazunguka na daladala analipa nauli yeye na wewe unaridhika tu unachangia stori. Na unajisifu hapa ulikuwa na hela ya taxi? Ovyooo!
Alikuwa hana hela sema hapa lazima ajitetee kama kweli alikuwa nazo iweje amuache mpenzi wake ndo alipe nauli? sehemu zote halaf na hizo root alizipanga yeye huweziona hata aibu root upange ww halaf nauli akulipie mwingne
 
Yaani muda wote mnazunguka na daladala analipa nauli yeye na wewe unaridhika tu unachangia stori. Na unajisifu hapa ulikuwa na hela ya taxi? Ovyooo!
Mara zote huwa ana kipochi karibu karibu so sikujua anahela kidogo hata hivyo kuna wakati nakumbuka kabla konda hajaomba hela kaisha mlipa na anakuwa wa kwanza kusema baby nsha lipa usilipe sasa mimi ningejuaje mfuko wake? sijui lakini maana mimi siwezi kulipia mtu hata awe nani hadi nijikute sina hela ya kunifikisha nyumbani huku sijui mfuko wake ukoje?
 
sijui lakini watu wengine wanavyochukulia mapenzi na majukumu na pengine nahitaji kujifunza kutoa fedha na pengine kutatua shida bila kuombwa wala kuelezwa!


Ndio kuwa responsible hivyo,mnawafanya mabint wawe omba omba kwa kutojitambua kwenu
 
Mwanamke wa kukaa na vitu moyoni sio kabisa. Mi mke wangu nimemfanya kama rafiki, yupo wazi sana nami pia. Japo mikwaruzano ya hapa na pale haikosekani.
 
sijui lakini watu wengine wanavyochukulia mapenzi na majukumu na pengine nahitaji kujifunza kutoa fedha na pengine kutatua shida bila kuombwa wala kuelezwa!

hata kama anafanya kazi lazima uwe unampa mpa hela mara kwa mara
 
Alikuwa hana hela sema hapa lazima ajitetee kama kweli alikuwa nazo iweje amuache mpenzi wake ndo alipe nauli? sehemu zote halaf na hizo root alizipanga yeye huweziona hata aibu root upange ww halaf nauli akulipie mwingne

unajua huenda tunatofautiana jamani namna ya kuendesha mahusiano na ndio maana haya yamenifika! mimi nikiombwa fedha huwa natoa kama ninayo lakini pia napenda kuona mtu wangu anafuraha na pengine napenda kuona popote pale nampa nafasi ya yeye kufanya maamzi nami nayabariki! huwa nampe fedha akiomba sasa kama kalipa nauli mimi nawezaje jua anahela ya shida hata ninge jua kuwa hana hela bado ningempa yeye ndo akawa anamlipa konda ndio desturi yangu awe mdogo wangu, mpenzi n.k popote pale huwa nawapa nafasi ya maamzi kwanza!
 
sijamjibu, japo alinipigia kujua kama nimepata sms yake nikamjibu ndio na nikaahidi kujibu! ila nasubiri kasafiri leo akirudi tu next week ntaomba maongezi naye na si sms! ntamtoa out tuongee!


Soma vizuri ushauri wangu na utilie maanani. Mapenzi sio utumwa kwamba ukose uhuru wa kufanya mambo yako. Yeye atakuwepo na anatakiwa kujua kuwa una uhuru wa kufanya chochote - free will -- na hata yeye ana free will yake. Hiyo hakuna binadamu anatakiwa kuingilia - si mama wala baba wala mke na hata Mungu anaiheshimu hiyo. Ukipoteza hii mara moja unakuwa katika hali uliyonayo sasa - tayari umeshajisahau na hujifahamu tena kwani unatumia muda wako wa kufanya free will kufikiria mambo yake na yeye ama kwa hakika hafikirii chochote kukuhusu wewe ndio maana hakukuambia wakati mambo yanatokea kwa kuwa alikuwa anatumia muda wake kufanya mambo yake. Sasa kwa dakika kama 10 tu ametumia kukufikiria na kukuharibia mwaka. Ona free will inavyofanya kazi. Wa kupoteza ni wewe na yeye hana cha kupoteza, muda wake kautumia vizuri kwa mambo yake na sasa dakika chache tu kakumaliza -- FUNGUKA acha uzembe. Vijana wa karne hii hawawazi tena hivyo kama wewe kuwa HURU! Tafuta marafiki kadri free will yako inakutuma na atakayekufanya na furaha muda wote - huyo ndio bana naye.

Nitakupa mfano: sms hizo kama angekuwa hana passive aggressive disorder angeandika hivi:
1. kumbuka mwezi wa tatu kunasiku ulitokea Riverside kwenye kikao ukanipitia Mwenge tukaenda Don bosco baadae posta na kurudi tena Don bosco, nilikulipia nauli muda wote huo nikabakiwa na mia tano tu, nikakuomba tutembee kwa muguu mpaka magomeni ili nipande gari za Mabibo nikidhani utauliza kwa nini tutembee kwa muguu ni kujibu sina nauli badala yake ukakubali tukatembea hadi magomeni sema kweli niliumia sana na niliumwa miguu wiki nzima bila nafuu! naomba isijirudie jaribu kunijali kama nami nifanyavyo kwako!
SAHIHI: Nakupenda sana, na nakumbuka siku ile tulivyotembea kwa miguu ilikuwa zoezi zuri natamani siku nyingine tufanye tena mwakani.

2. Kuna siku nilipata taarifa za kweli ulitaka kupeleka barua ya uchumba kwa mtu tofauti na mimi huku uko kwenye mahusiano ya kimapenzi nami niliumia sana japo sikusema.
SAHIHI: Ingawa wewe ni mtu huru kifikra nakupenda sana na natamani siku moja tutakuwa pamoja. Nijibu kama wanipenda zaidi yangu.

3.Nilipo ugua mwezi wa tisa nikakutumia sms kuwa naumwa sikua na senti hata kidogo, ukaishia kusema pole bila kujua naponaje ilinilazimu kukopa kinyume na jadi yangu napo niliumia sana!
SAHIHI: Nakutakia mwaka huu ujao mpenzi tupate fedha za kutosha - sitaki kukumbuka kipindi kile nilipoumwa na wote hatuna fedha. Mwaka huu ujao uwe na mafanikio.

4.Nilipo kuwa na birthday pamoja na wewe kunipatia fedha ila hukufika niliumia sana japo nilikubaliana na taarifa yako kuwa hutofika uliyoitoa dakika za mwisho naomba lisijirudie mwakani!
SAHIHI: Mwaka ujao tuwe na muda pamoja zaidi na tupange mipango na kufurahia pamoja


Sasa ukiangalia mifano niliyoweka utaweza kuona jinsi alivyo na personality disorder. Nimekusaidia tu bure bila faranga.

Mapenzi si malalamiko. Usikubali. MAapenzi ni kila mtu kufanya responsibilities zake na kisha mnakutana kwa maongezi na kubadilisha mawazo na of course the thing. Hii ndio love. Kama love ni kuchukua mizigo basi ni aheri wanaume wote wangekuwa na orphanage centres kwani hawa wanahitaji msaada wa fedha zaidi.

Asante
 
Sidhani kama kila kitu ni topic hapa JF, wewe umeambiwa rekebisha tabia yako mwakani ni kitu gani hujaelewa?

Sijaona umuhimu wa wewe kuleta hili hapa na badala yake fanyia kazi msg yako.
 
Hawani wanamapenzi yaki form 4 tena huenda wote mlipata jichoo? Haah mtatesanaje? Sasa utaendaje kutakakuposa kwingine wakati huyo ndo unaye mpenda doesn't make sense hooovyoooo?.
 
Back
Top Bottom