SMS iliyoniamsha.. kuna kusalimika?

SMS iliyoniamsha.. kuna kusalimika?

Mtu mwenye busara hapuuzi lolote analoambiwa au kusikia hata kama ni la kipumbavu,analitafakari na kulichukulia kama changamoto kwa maisha ya kila siku.
Hayo nayaona ni maono ya kionambali.


Hapo umenena mkuu.. Big up! U'r a great thinker..
 
Hili suala lisipuuzwe tafadhali wahusika kwakuwa mpo humu lifuatilieni maana wakiwamaliza hao itafuata zamu yangu mimi na wewe.
 
Wataua wangapi? Kilio cha ufisadi ni cha watanzania wote; wanapoteza muda labda kama hajui historia ya Afrika Mobutu, Nguema, Bokasa na madikteta wengine waliua wangapi? na waliishia wapi?

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Nimejaribu kutumia mbinu ya kumtumia pesa kupitia M-PESA mwenye namba hiyo inayosambaza ujumbe huyo ni FAUSTINE KABUTA. Nimejaribu kuipiga hiyo namba ila haipatikani hewani! Viongozi wangu wameniambia haiwezi kupatikana kwa sababu huenda akakamatwa!

Kuna sms mbili ambazo nimezipata tangu juzi. Moja inamhusu kijana Julius Mtatiro aliyekuwa mmoja wa viongozi wa TAHLISO. Hiyo sitaizungumzia sana kwa sasa lakini ni dokezo kwa watawala wajue tunajua wanachopanga.

Lakini ya pili ndio imenishtua sana kwani nimeipata usiku wa manane hapa kijijini. Mara nyingi ninapopata hizi za usiku wa manane basi najua ni jambo zito na nyeti. Nilikoipata na nilivyozunguka kuona kama watu wengine wameipata nimeshangaa jinsi ilivyosambaa kwa kasi.

Imekuja kama ile sms iliyotangaza kifo cha Zitto akiwa Mombasa wakati yeye mwenyewe akiwa hai na wiki moja baadaye tukasikia kifo cha Wangwe. Huwa sishei messages hizi hadharani lakini hii nimeombwa na watu ambao majina yao si mageni kabisa masikioni mwenu. Hivyo naitoa kama ilivyo nikiacha muamue kama kuna mtu mwingine kaipokea, kuna ukweli, ni uzushi wa kupuuzia, ni njama za kuchafuana au ni jambo ambalo la kupuuzia.

Nilichogundua kitu kimoja ni kuwa simu zinazotoka sms hizi ukipiga unapata error messages. Mojawapo ya simu hizo ni hii: 0757 079316. Na wanaofanya hivyo wamegundua kuwa Jeshi letu na UwT hawana uwezo wa kutrace simu za wireless na hivyo kuacha simu hizo kutumika kama vifaa vya matishio kwa watu wengine.

Message yenyewe inasema hivi:
 
kwa heshima ninayo kupa Mzee MwanaKijiji, hapa nimesoma between the lines, nimekuelewa vyema, kweli kazi ipo !!
 
Jamani kumbukeni mada hii kaileta Mwanakijiji September 5 mwaka 2008. Hiyo namba leo hii inaweza kuwa na mtu mwingine maana hta anamba yangu ya mwaka 2007 sasa hivi ina mtu mwingine kabisa na hatujuani.
 
mwenye namba ni Faustine Kabuta. Igonge kwenye m pesa itakuleta hilo jina. Haya kazi kwenu watu wa usalama wa ccm
 
Jamani hiyo namba yawezekana haikuwa ya huyu bwana keo hii msimsumbue bure na kumletea matatizo.
 
Kuna sms mbili ambazo nimezipata tangu juzi. Moja inamhusu kijana Julius Mtatiro aliyekuwa mmoja wa viongozi wa TAHLISO. Hiyo sitaizungumzia sana kwa sasa lakini ni dokezo kwa watawala wajue tunajua wanachopanga.

Lakini ya pili ndio imenishtua sana kwani nimeipata usiku wa manane hapa kijijini. Mara nyingi ninapopata hizi za usiku wa manane basi najua ni jambo zito na nyeti. Nilikoipata na nilivyozunguka kuona kama watu wengine wameipata nimeshangaa jinsi ilivyosambaa kwa kasi.

Imekuja kama ile sms iliyotangaza kifo cha Zitto akiwa Mombasa wakati yeye mwenyewe akiwa hai na wiki moja baadaye tukasikia kifo cha Wangwe. Huwa sishei messages hizi hadharani lakini hii nimeombwa na watu ambao majina yao si mageni kabisa masikioni mwenu. Hivyo naitoa kama ilivyo nikiacha muamue kama kuna mtu mwingine kaipokea, kuna ukweli, ni uzushi wa kupuuzia, ni njama za kuchafuana au ni jambo ambalo la kupuuzia.

Nilichogundua kitu kimoja ni kuwa simu zinazotoka sms hizi ukipiga unapata error messages. Mojawapo ya simu hizo ni hii: 0757 079316. Na wanaofanya hivyo wamegundua kuwa Jeshi letu na UwT hawana uwezo wa kutrace simu za wireless na hivyo kuacha simu hizo kutumika kama vifaa vya matishio kwa watu wengine.

Message yenyewe inasema hivi:
ingawa uli2miwa ujumbe huu mwaka 2008,kilichoandikwa ndicho kilichomtokea mwakyembe....2naweza kusema haikuwa blah blah.
 
Mzee Mwanakijiji,
Kwa kuwa yale yaliyomhusu Mwakyembe yaelekea kutimia, si vibaya ukatujuza ile ilyomhusu Mtatiro.
 
ndugu wana JF kwanza nampongeza Mzee M/Kijiji kwa kuamua ku-disclose sms hiyo, mimi naona amefanya uamuzi sahihi kwa sababu amesaidia kufungua macho ya watu wengi zaidi kupanua hisisa zao. Ufisadi upo na mafisadi wapo.

Kosa moja ambalo sisi wananchi wa TZ tunafanya ni kutokuwa sensitive na hivyo kudharau mambo kirahisi kama tulivyobesa taarifa ya Dr Mwakyembe alipolalamika kuwa anataka kuuawa. Watu walikuja hapa na kumshutumu kuwa wanamfahamu Dr ni mwongo, ni mtu wa ku-pretend kuandamwa ili aonewe huruma, nk.. Sasa Dr Mwakyembe yuko hapo.

Nchi yetu ni tajiri sana, na watu wake wengi ni insensitive, uninformed na ileterate.. mataifa mengine yapo kwenye agenda mpya na zina changamoto mpya na kubwa kama overpopulation, inadequate resources, economical challenges na kadhalika. Lazima nchi yetu itakuwa target nzuri na hivyo ndivyo ilivyo ...tupende ama tusipende..

Kama huyo Ro ni agent wa mataifa ya nje, then kuna wazalendo ambao nao ni agent wa mfumo huo. watu wako tayari kuuza nchi yao kwa mataifa ya nje ili yawaunge mkono katika makusudi yao kutwaa uongozi...

SMS ya M/Kijiji, naomba ituamushe, tuamke na kuwa tayari kukabiliana na hujuma hizo kwa baadhi ya wazalendo wengi kabla hawajateketezwa na kubaki na mafisadi na masikini wasiojuwa nini wanahitaji na nini hawahitaji.
 
Wataua wangapi? Kilio cha ufisadi ni cha watanzania wote; wanapoteza muda labda kama hajui historia ya Afrika Mobutu, Nguema, Bokasa na madikteta wengine waliua wangapi? na waliishia wapi?

Chama
Gongo la Mboto DSM

unataka kumuweka kwenye kundi la kina mabutu hata walomuua nyerere?
 
Zamani ulikuwa unanunua lain kisha unatumia kwa maovu kisha unatupa.Naimani faustine kabuta siye mtumiaji wa namba hiyo kwa 08.Lakini yaliyoandikwa ni muhimu yote....MWAKYMEMBE SIKU YOYOTE ATAPOTEZWA..TUJIULIZE KWA NINI AUMWE SASA?
 
Back
Top Bottom