SMS hizi! Ungefanyaje?





Hehee hayo ndo mambo ya ze mimi ze naomba maj buana
 





Sala itaisha hapo mwsho umesemaje??
 



Hahaa endelea ww
 



Duh! Hahahaa
 
My girlfriend left a note on the fridge "It's not working. I can't take it anymore. I am going to my Mom's place"
I opened the fridge. The light came on. The beer was cold... What the hell is she talking about?

Hapa pagumu msaada plz
 



Aiyaa!!!
 
Ukiweza nakupa Zawadi!


Kuna MTOTO alikuwa analia juu ya KABURI alipiulizwa unalilia nini akajibu KAKA wa MKE wa MAITI ni MJOMBA WANGU. JE MAITI NI NANI HAPO?
maiti baba yako.
 

Huyo padre noma masister wote kawaduu
 
I love the way you lie!
 
Mama mmoja alikuwa anapika supu,
akamtuma mwanawe limao,
Mtoto wakati yuko juu ya Mlimao akapita Tajiri mmoja akamuona mtoto ------ wazi,
tajiri akamshusha akampa pesa 50,000/= za kununua nguo na chakula,
Mama kuona mtoto kapata pesa, na yeye akapanda juu ya mlimao bila chupi,
Tajiri akamshusha akampa sh. 100 akamwambia kanunue wembe,
Unadhani tajiri kaona nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…