MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
nafuu hata angetumia makalio yake huyo anatumia ya wenzake kufikiri.........
mama punguza.. Loh!!!
nafuu hata angetumia makalio yake huyo anatumia ya wenzake kufikiri.........
siyo kadi bwana shahada ya mpiga kura=talaka kwa magamba watanzania:cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:ccm mhhhhhhhh:a s-cry::a s-cry::a s-cry::a s-cry:
mama punguza.. Loh!!!
nataka athibitishe mana hata awamu iliyopita walijiandikisha alafu siku ya meich hawakutokea.. Hawa ni wasanii sana.
Hahahahah na nani?Upinzani?Maweeeeeeeeeeeeeeee Siku ilipotangazwa UPINZANI rukhusa basi zile kadi za kijani zote pamoja na katiba zake zilichomwa moto................
Maana enzi zile ilikuwa upende usipende lazima uwe mwanachama wa kijani vinginevyo hutapata shule,chuo wala kazi.............Hivyo tulivyomaliza tu kale kajeshi kwa kujenga Taifa hiyo ndiyo ilikuwa Zawadi ya kuanzia maisha ya uraiani.................Hivyo hasira zote ilibidi nifanye hivyo..............
Umesahau pia kura zilipigwa kwa mlengo wa dini mapadre walihamasisha wapige mkristu mwenzao , sasa zamu hii ni ya wakristu sijui itakuwaje hapo
Wajua kujiandikisha ni TENDO moja na la pili ni kwenda kuipiga hiyo kura.............Hapa ndipo kazi kubwa inatakiwa kufanywa na UKAWA kuwahamasisha waliojiandikisha kwenda kupiga kura...........Na wawe wanawapa elimu ya namna ya kupiga kura ili wasiharibu KURA za UPINZANI............
Huko kijini kwetu ELIMU ni Kwenye madaladala tu.............
Haujasikia MLIO wao kwenye UJUMBE toka kwa Mzee wa NEC Lubuva?Ati Chadema hawaruhusiwi kufanya kampeni ya kujiandikisha ni kazi ya NEC...............Ukijumlisha unapata jibu..................
Hawa watoto wa matajiri wanamaudhi sana kaka............Inabidi tu wakati mwingine uwe mkali kidogo vinginevyo watazidi kutufanza awa............Maana ni :hatari::hatari::hatari: kuliko:shetani::shetani::shetani:
Atuambie kwa nini alimuasi Mungu, Majukumu aliyopewa aliyakimbia teh teh teh leo apewe uprezida atatuacha solemba huyu!
Kwani aliyekwambia huwezi kuondoka/kuvunja mkataba km upo kinyume na makubaliano ni nani?
Wewe ndo ndo unajua kuwa aliasi?
Wewe ni Mungu?
ni kweli lkn ukishaona hivi usionyeshe mihasira yako huwa wanapenda sana wakigundua unamihasira ndo wanakuzidishia mwishowe utafana na FAIZA:confused2:
Kuna hoja nimeiona humu jamvini inasema kuna mikoa uandikishwaji ulifanywa kwa haraka sana hadi waliotakiwa kuandikishwa hawakuandikishwa. Ngoja niitafute huo uzi nikutag.
Hamna lolote nyie mmepotea kwenye ajenda kuu nyie, hivi mnajua mnachokijadili?kwanza semeni wote kwa pamoja boss wenu leo yuko wapi??
Ukiona hivyo ujue hawakuanna sifa za kuandikishwa au waligundulika raia haramu!kwani wewe umeshajiandikisha hapo kwako kama bado umeliwa teh teh uchaguzi utausikilizia kwenye bomba!
Mm cmwanasiasa
Slaa ni rais anaesubiri ku apishwa
mshikachuma usiwe na tabia ya wapiga ramli ukadhani umejaliwa kipaji kumbe unaidanganya akili yako mwenyewe. Toka lini mimi nimekuja hapa na majina zaidi ya hili nalotumia. Sijawahi wala sitoweza kubadilisha jina toka naingia kumbi za mijadala kama hii miaka 15 iliyopita. tabia za kinafiki mnazo nyie mnaojificha nyuma ya pazia mkadhani kila mtu ni kama nyie.