Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa

Kama nakuelewa ivi
 
There is no other way...Dr.Slaa is the next president,he is loyal and influential,a man with extraordinanary power granted by holy spirit.

There is no other way CCM will fall and UKAWA will prevail to the minds and soul of Tanzanians.
 
Sijui kwanini sina imani na UKAWA, japo SISIEM ndo sitaki kabsaaaa kuwasikia.

PIGENI MAWE
 
Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa

2010 hawakuandikishwa wapigakura mil 20. idadi ilikuwa ndogo zaidi ya hapo. wengine waliandikishwa 2005.

uhakika kuwa tume iliondoa waliofariki kwenye daftari haupo kwa mfumo wetu wa utoaji taarifa. ndio maana hata majina ya waliofariki yamewahi kuripotiwa na hata watu kudhubutu kwenda kupiga kura kwa kutumia vitambulisho vya marehemu.

nachoweza kusema ni kwamba utaratibu wa kuliboresha daftari bado una kasoro nyingi.

pia hamasa ya watu kujiandikisha haikuwepo, ilikuja kupatikana kwenye kampeni lakini wengi hawakuwa wapiga kura.
 
Huu uzi kama huna hoja pita mbali hukoooo

Mleta mada kaandika kitaalamu bila ushabiki

Dr slaa ndio habr za mjini
 
Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa

Umesahau pia kura zilipigwa kwa mlengo wa dini mapadre walihamasisha wapige mkristu mwenzao , sasa zamu hii ni ya wakristu sijui itakuwaje hapo
 
Padri huyuhuyu kweli,arudishe kwanza mke wa mtu atubu dhambi na arudi kwenye komunio ndo agombee urais
 
Mzee Tupatupa habari ya huko kwenu Lumumba?

Umekuwa mwanasiasa shabiki wa CCM unayeishi katika imani za wanaTANU kusema kweli daima. Hata kama akina Nape huwa hawafurahishwi...

Wananchi wa Sumbawanga wakimsindikiza Dk. Slaa.
 
Ingawa sasa CCM ndiyo habari ya mjini, Dr. Wilbrod Peter Slaa asisahaulike. Ingawa mchakato wa kutangaza nia ndani ya CCM umeteka kilamedia hapa nchini, Dr. Slaa ni mwiba mkali kwa CCM yetu kama akiridhiwa na UKAWA kupeperusha bendera yao hapo Oktoba.

Kwa mwitikio anaoupata kwenye mikutano ya UKAWA huko apitapo na ninayoyaona humu nitembeapo,Dr. Slaa ni silaha tegemezi ya UKAWA.

CCM iwe pamoja au iwe vipandevipande baada ya mchakato wa ndani wa kumpata mgombea wetu, Dr. Slaa hatatetereka wala kuimarika.Atabaki kama alivyo: imara as ever. Iko wazi kuwa Dr. Slaa ana mtaji kuanzia safari yake ya Oktoba endapo UKAWA wakimpitisha.

Anaweza kubezwa na kukejeliwa lakini yeye ni mwanasiasa wa kufanyiwa maandalizi ya kutosha. Mgombea yeyote wa CCM na wengineo angetamani kikombe cha Dr. Slaa kimuepuke.

Yupo kwenye kumbukumbu ya watanzania kama mwanasiasa aliyethubutu kupambana na mafisadi,kwa vitendo, kwakuanika a List of Shame pale Mwembeyanga-Temeke, orodha ya mafisadi inayojidhihirisha kila kukicha.

Niseme tu, Dr. Slaa is one of the most complete politicians from the opposition. He is, normally, slow but sure! Hata asipokuwa mgombea wa UKAWA, atakuwa kiungo muhimu kwenye timu ya UKAWA.

Nitasema ukweli daima, fitina kwangu ni mwiko!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Tabora)

Hizi pilika pilika za uwingi wa Watu kutaka kujiandikisha katika Daftari la mpiga Kura kwa mtazamo wangu sio kwa ajiri ya kupiga Kura bali ni kutafuta Vitambulisho baada ya hapo hali itatulia kama hakuna kilichotokea, CCM ipo imefundishwa Mashuleni na Vyuoni kwa hiyo ipo Masikioni na Midomoni mwa Watu wengi kwa hiyo inafahamika na wengi UKAWA ni kitu kigeni miongoni mwa Watu vivyo hivyo Dr. Slaa, bado haijafanyika juhudi ya kutosha kumnadi na kuwaaminisha Watanzania kwamba anafaa kuliongoza Taifa hili.

Nasema hivi kwa sababu mbali ya Fitina za kisiasa walizonazo CCM sijaona Weledi hasa toka UKAWA juu ya kupambana na CCM, ninachokiona ni Misuguano ya chini chini katika yao juu ya Maslahi. Lakini pia Demokrasia ya namna ya kumpata Mgombea toka UKAWA haijawekwa wazi bado Watu wawili tu Lipumba na Slaa ndiyo wanatajwa kama vile hakuna watu wengine hili ni tatizo, wakati fulani Lissu aliwahi kuzungumza kwamba nae anautaka Urais inaelekea katishwa asiseme tena yupo kimya na hakuna mjadala kumuhusu tena.

Siasa ina mambo mengi kuna makundi ya wapiga Kura bado sijaona Jitihada za UKAWA za kufikia hayo makundi hata tukisema kwamba nchi yetu haina UDINI lakini DINI zipo na Makabila yapo Mikoa ipo na Kanda zipo, tumeona kilichotokea Mbeya wakati Mwandosya akitangaza NIA Vyama vyote vilimuunga mkono kwa hiyo Mchakato bado ni Mgumu ni suala la kusubiri lakini ukweli bado CCM wana nafasi kama watachanga vizuri karata zao
 
Hizi pilika pilika za uwingi wa Watu kutaka kujiandikisha katika Daftari la mpiga Kura kwa mtazamo wangu sio kwa ajiri ya kupiga Kura bali ni kutafuta Vitambulisho baada ya hapo hali itatulia kama hakuna kilichotokea, CCM ipo imefundishwa Mashuleni na Vyuoni kwa hiyo ipo Masikioni na Midomoni mwa Watu wengi kwa hiyo inafahamika na wengi UKAWA ni kitu kigeni miongoni mwa Watu vivyo hivyo Dr. Slaa, bado haijafanyika juhudi ya kutosha kumnadi na kuwaaminisha Watanzania kwamba anafaa kuliongoza Taifa hili.

Nasema hivi kwa sababu mbali ya Fitina za kisiasa walizonazo CCM sijaona Weledi hasa toka UKAWA juu ya kupambana na CCM, ninachokiona ni Misuguano ya chini chini katika yao juu ya Maslahi. Lakini pia Demokrasia ya namna ya kumpata Mgombea toka UKAWA haijawekwa wazi bado Watu wawili tu Lipumba na Slaa ndiyo wanatajwa kama vile hakuna watu wengine hili ni tatizo, wakati fulani Lissu aliwahi kuzungumza kwamba nae anautaka Urais inaelekea katishwa asiseme tena yupo kimya na hakuna mjadala kumuhusu tena.

Siasa ina mambo mengi kuna makundi ya wapiga Kura bado sijaona Jitihada za UKAWA za kufikia hayo makundi hata tukisema kwamba nchi yetu haina UDINI lakini DINI zipo na Makabila yapo Mikoa ipo na Kanda zipo, tumeona kilichotokea Mbeya wakati Mwandosya akitangaza NIA Vyama vyote vilimuunga mkono kwa hiyo Mchakato bado ni Mgumu ni suala la kusubiri lakini ukweli bado CCM wana nafasi kama watachanga vizuri karata zao

Umesahau pia kura zilipigwa kwa mlengo wa dini mapadre walihamasisha wapige mkristu mwenzao , sasa zamu hii ni ya wakristu sijui itakuwaje hapo

Nadhani tujipe muda baada ya Oktoba tutaona CCM watakuwa wamempata rais gani,Tanzania hatuendeshi kwa itikadi za dini na wala hiki sio kigezo kabisa cha kumpata rais wa nchi!
 
Back
Top Bottom