Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Oooooh sorry kumbe Im talking with kipofu, u dont see sasa mbona unapelekwa deep sea!
....what the f*ck ar u talking!!...alieko deep see kwa kutokuona ni mimi ama wewe??....Unadandia hoja usizoweza kujadili....unalipwa hela ngapi we???mimi sijadiliani na madodoki kama wewe... i don't argue with fools like you.......
 
Swala la vision kila kiongozi anayo so usilete sifa za kijinga sanasana alichowahi kufanya ni kuongaza chama cha familia.hastahili kuongoza nchi
 
Mahayani wengi nchi hii ruzuku inatokana na kodi za wananchi ccm wanapokea ruzuku kama vyama vingine acha ujinga, kama kuna shida kwenye chama chake na vyombo vya usalama vya serikali ya CCM vimeshindwa kuwakamata na kuwapeleka mahakamani ujue ni serikali dhaifu inayopaswa kuondolewa

CDM NDO HUWA WANASEMA HII SERIKALI YA CCM??? Wakosoe wao kwanza waache kuwaita hivyo bungeni???!!! Sasa unakataa nini Ruzuku mnayochukua si inatoka kwenye Serikali ya CCM na mmetafuna!!!
 
....what the f*ck ar u talking!!...alieko deep see kwa kutokuona ni mimi ama wewe??....Unadandia hoja usizoweza kujadili....unalipwa hela ngapi we???mimi sijadiliani na madodoki kama wewe... i don't argue with fools like you.......

Tukana tu maana ndiko mnakoishia pale mnapokua empty mind!viroba vinaanza kufanya kazi!!
 
Tukana tu maana ndiko mnakoishia pale mnapokua empty mind!viroba vinaanza kufanya kazi!!

wewe kama kweli ni ccm,ndio wale Makongoro amewaita vibaka.Chama chetu mnakipeleka wapi nyie vibaka na majizi?Achani chama chetu anzishenu chenu na lowasa
 
Mahayani wengi nchi hii ruzuku inatokana na kodi za wananchi ccm wanapokea ruzuku kama vyama vingine acha ujinga, kama kuna shida kwenye chama chake na vyombo vya usalama vya serikali ya CCM vimeshindwa kuwakamata na kuwapeleka mahakamani ujue ni serikali dhaifu inayopaswa kuondolewa

Huwezi kuwasema wengine kuwa ni mahayawani kama wewe si mmojawao,toa hoja acha kuloloma!na kama huwezi kujenga hoja kinywa chako kimejaa mitusi tupishe tu usije kula ban!
 
wewe kama kweli ni ccm,ndio wale Makongoro amewaita vibaka.Chama chetu mnakipeleka wapi nyie vibaka na majizi?Achani chama chetu anzishenu chenu na lowasa

Kwani wewe uko kundi gani jana si nilikuona kwenye msafara wa Katavi unaelekea sheli na bodaboda yako kutumia Ruzuku ya CHADEMA?
 
Huwezi kuwasema wengine kuwa ni mahayawani kama wewe si mmojawao,toa hoja acha kuloloma!na kama huwezi kujenga hoja kinywa chako kimejaa mitusi tupishe tu usije kula ban!

Wenye mitusi ni nyie mnao fanya ufisadi mpaka kwenye hela zakuingilia stand
 
Kwani wewe uko kundi gani jana si nilikuona kwenye msafara wa Katavi unaelekea sheli na bodaboda yako kutumia Ruzuku ya CHADEMA?

acha upuuzi wewe,nyie ndio mwenyekiti Jakaya alisema mnashinda kuwaramba ramba mafisadi.Tuachieni chama chetu nyie vibaka.Na ole wenu Makongoro apite tutawafukuza wote vibaka kwenye chama chetu
 
Sijui kwanini sina imani na UKAWA, japo SISIEM ndo sitaki kabsaaaa kuwasikia.

PIGENI MAWE

...kutokujua ni kwa nini hauna imani na kitu ni moja kati ya dalili kuu za mtu kutokujitambua,dalili nyingine ni kutokujua unataka nini, wapi,lini na saa ngapi...hili ndio tatizo linaloendelea kuikwamisha nchi hii kwenye dimbwi la umasikini coz watanzania walio wengi hawajitambui/hawajielewi kabisa...
 
mtu yeyote alie soma dini divinity sio ----.kama ---- inakucheua kama matapishi.so namkubali sana dk
 
Back
Top Bottom