Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
iwe Dr.Slaa ambaye kwenu nyie mnamuona kama nabii wa Mungu kuikoa Tanzania.
Hhahahahahhha.....Nyani haoni kundule
iwe Dr.Slaa ambaye kwenu nyie mnamuona kama nabii wa Mungu kuikoa Tanzania.
Hhahahahahhha.....Nyani haoni kundule
Kwani lako lenyewe kaliona si bado!
Povu la nini mbona ya kawaida tu...Wewe ni mpiga kelele.....this is my first and last response quoting you in JF
Wewe ni officially kichaa
namkubali sana slaa ila ccm kuiondoa ni ngumu sana! Labda kura zikahesabiwe ughaibuni
Matokeo ya tafiti ya Synovate yanaonesha Dr. wa Ukweli 42%, Prof. Lipumba 14%, Kabwe Zitto 9%. Ukichukua mara mbili ya kura za Prof unapata 28%, mara tatu unapata 42%-hivyo Dr. Slaa ni mara tatu ya Prof. Kwa upande wa Zitto, mara mbili ni 18%, mara tatu ni 27%, mara nne 36%, mara tano ni 45%.
Hivyo Zitto afyate mkia kwa Dr. aache mbwe mbwe na kukivuruga chama, hawezi kumfikia, aishie kwenda Sudan Kusini na rais wa magamba. Kuhusu Dr. amekuwa akipanda kwa kasi sana. Oct. 10, 2010, kabla ya uchaguzi Synovate walisema Dr. 16%, Kiwete 61%, matokeo ya uchaguzi 31 Oct. Dr. 26%, Kiwete 61%-alisizi wakati Dr. 10% ziliongezeka.
Matokeo ya juzi Kiwete angepata 0% km angehusika. Dr. 46%, ongezeko 20% toka 26% matokeo ya uchaguzi. Nawaasa Prof. na Zitto wanyoshe mikono juu, wapige 'salute' kwa Dr. CCM ndo kabisa, wameshuka daraja, hata wakisajiri upya hawawezi kunyakua kombe 2015, hata ligi ndogo ya Igunga wasitegemee ushindi. Refa wao NEC na washika vibendela- Shimbo, polisi na Intelligensia feki- wajiandae kwenda CELLO.
Mnasemaje wana JF?
Watu wanaoibukia Kuzimu huwa hawana kumbukumbu Dr Slaa aliombwa na viongozi wa dini , viongozi mashuhuri, mabalozi kuangalia mustakabari wananchi na kuvumilia ili wananchi wasiuane kulikuwa na maandamano ya wapatanishi wwaliokuwa wakienda pale Ufipa kwa makundi , ni jasiri na haja pata kutokea MTanzania mwingine jasiri kama yeye sio mwoga na maisha yake kayaweka rehanislaa mwenyewe muoga tu 2010 wakati wa matokeo ya urais alikimbia kujificha chini ya mwenge,kama alikubali kupima kwa nini aliogopa majibu?muoga tu na this time ccm hawana huruma nae kabisa watameza ukawa yote,
Tumpe nchi akafie Ikulu babu huyu
Namkubali sana slaa ila ccm kuiondoa ni ngumu sana! Labda kura zikahesabiwe Ughaibuni
DR SLAA NI JEMBE lenye uwezo wa kulima popote tz na duniani.........ATAPITA TU NA ASUBIRIE KURA ZA KISHINDO KUTOKA KWA WATZ
Lengo hasa la chadema ni kukiua kabisaa chama cha Cuf,naomba wanachama wajiangalie kwa umakini
Wabunge wa kutosha hana ataajiri mahawara zake wote ikulu tangu alipo hasi kanisa na wale akiwa kainisani maana ndiko alikoanzia kutia nuksi madhabau ya mungu,
usitudanganye hapa onyesha kadi yako mpya tuone tuamini