Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa
Mkuu The Big Boss, hili nililiona siku nyingi, niliwashauri hivi jamaa zangu wa Chadema,
[h=3]Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target,[/h]Japo niliishia kubezwa, lakini hizi ni hard facts!.

Pasco
 
tumika tu muulize ile ndoto ya 2010 kama kaisahau, na this time ccm wana hasira na nyie kisa mmejiunga ukawa wana makombora ya kuwapiga kwa mpigo na mtakufa kwa pamoja kisha wanawatawala milele! Teh teh teh ni sheedah sipati picha mna yoweweseka mkiwasikia ccm

we kijana ntwara kwemaa...!
-tumia akili kuandika post zako na siyo makalio!
 
kila kitu si wanasingizia kuhujumiwa, na ukawa wameanza kuvutana wameshaanza kuisingizia ccm na nikuambie tu ccm wana hasira sana na ukawa na this oktoba wataipa kipigo cha mwizi na kuitawala milele ukawa wanafanya maigizo tu wote wale ni watumishi watiifu wa ccm

kwahiyo wewe ccm kutaawala milele ni furaha kwako na sio kutuletea maendeleo.. Wahurumie hata ndugu zako wanaokosa dawa hospitalini. Hii bahati uliyoipata kushinda humu jf usiitumie vibaya.
 
kwahiyo wewe ccm kutaawala milele ni furaha kwako na sio kutuletea maendeleo.. Wahurumie hata ndugu zako wanaokosa dawa hospitalini. Hii bahati uliyoipata kushinda humu jf usiitumie vibaya.

Rafiki wapoteza MUDAO bure kuongea na kikaragosi kilichozoea kupewa pesa za wizi............Hao kaka ni kati ya wale wachache waliogawiwa lile fungu la pesa ya MBOGA aka ESCROW?
 
Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa

Mkuu The Big Boss, hili nililiona siku nyingi, niliwashauri hivi jamaa zangu wa Chadema,
[h=3]Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target,[/h]Japo niliishia kubezwa, lakini hizi ni hard facts!.

Pasco

TULIENI, SIKILIZENI. HIYO MNAYOSEMA NI MAMBO ZA KUPITA ZIMESHAPITA 2010 IMESHAPITA MSIFANANISHE 2010 SAWA NA 2015. HAIWEKEZANI NA HAITAWEKEZANA USANII ULIOFANYWA 2010 HAUWEZI KUTOKEA 2015 MAWAZO YENU NI FINYU SANA NA KWA KUWASAIDIA KIDOGO HEBU ANGALIENI CHAGUZI ZA SERIKALI ZA MITAA 2010 NA ZILIZOFANYIKA KIPINDI HIKI JEE MATOKEO YAKO SAWA? UKIWEZA KUJIBU HILI NTAJUA MKO SAWA BONGO ZENYU.
HIVYO BASI HALI ILIYOPO SASA 2015 SIO ILE MLIYOIONA 2010. 2015 INACHANGAMOTO AMBAZO HATUJAWAHI KUZIONA TANGU TAIFA HILI TANGANYIKA aka TANZANIA LIZALIWE NA SASA TUTAZIONA.
HAYO MNAYOSEMA SLAA ALISHINDWA NI KWENYE MAKARATASI TU YA USANII AMBAYO THIS TIME HAYTATUMIKA. NA MIOYONI MWA JAMII NI WENGI WAMEMKUBALI DR. SLAA NA WATALIONYESHA HILO NOW! 2015 FOR UKAWA NA KWA TAIFA JIPYA LA TANZANIA.
 
Mkuu The Big Boss, hili nililiona siku nyingi, niliwashauri hivi jamaa zangu wa Chadema,
Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target,

Japo niliishia kubezwa, lakini hizi ni hard facts!.

Pasco

Shemeji yangu Pasco tuko vizuri na tunachukua ushauri wako kwa umakini na chini chini.............Ukiona kimya ujue.........Niambie tu wapi wataka kupeleka NIA?Tabora au Shinyanga?Mradi tu isiwe kule Lumumba basi...........:welcome::welcome:UKAWA
 
Dr slaa ndio rais wangu ajaye.


Kura yangu anayo,!!
 
ukweli ni kwamba slaa kupata urais nchi hii haiwezekani. hilo hata slaa mwenyewe analitambua. pili, nikunyooshe kidogo, slaa hakufikisha kura hata milioni 4. zilikuwa ni kama 3.4 mil sawa na about 30% akifuatiwa na Prof. Lipumba akiwa na kura kama laki7 hivi.

Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa
 
waonyesha unamapenz ya kweli atii:A S 109:

Hahahahah na nani?Upinzani?Maweeeeeeeeeeeeeeee Siku ilipotangazwa UPINZANI rukhusa basi zile kadi za kijani zote pamoja na katiba zake zilichomwa moto................

Maana enzi zile ilikuwa upende usipende lazima uwe mwanachama wa kijani vinginevyo hutapata shule,chuo wala kazi.............Hivyo tulivyomaliza tu kale kajeshi kwa kujenga Taifa hiyo ndiyo ilikuwa Zawadi ya kuanzia maisha ya uraiani.................Hivyo hasira zote ilibidi nifanye hivyo..............
 
Je unajua kuwa Konyagi ni gongo kiwanda chake kiko mitaa ya viwanda ya Chang'ombe? Hicho kiwanda ni wazo la Slaa? Umri wa kiwanda hicho si zaidi ya umri wako,? Ni rekodi ipi unadhani imevunjwa ?

Konyagi siyo gongo, gongo ina methanol ambayo huuwa macho na husababisha mikono kutetemeka. Kiwandani wanakuwa na mechanism za kuondoa au kupunguza methanol. Wanaokataza gongo siyo machizi, wanajua in mathara, na ni tofauti na pombe kali za viwandani.
 
Back
Top Bottom