Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

ccm wenzangu wapendwa jamani tupeni hoja za mashiko.Tunakaria majungu ya padri,mzinzi sisi uku kwenye mikutano tukiviongea tunazomewa.Jamani leteni hoja nasisi tujifunze tuitetee ccm yetu sio majungu

Huyo hana tofauti na Yuda Eskariote!

Kweli mkuu, binafs nimeshuhudia ccm wakizomewa sana kwa kukosa hoja za msingi ila wamejazwa personal issues ambazo hata wa kuzithibitisha n mungu pekee.
Nape na team yake inabd awafunze upya, itafikia hatua mtaonekana vilaza wa kufikiri.
Cc mali si pesa
 
Wewe umepote njia angalia mchango wako ndo utajua akili yako, unaenda mbele unarudi nyuma sijui umepuliza kidogo nini?

najua kitengo cha propaganda makao makuu ccm mnatuchanganya,padri,mzinzi hii inatuchanganya sisi tulioko uku pembezoni.Kwenye vikao tunalalamika tubadilishe hizi.ccm wenzangu leteni masuara issues na sisi tujifunze.Ccm imetekwa na vibaka By makongoro
 
najua kitengo cha propaganda makao makuu ccm mnatuchanganya,padri,mzinzi hii inatuchanganya sisi tulioko uku pembezoni.Kwenye vikao tunalalamika tubadilishe hizi.ccm wenzangu leteni masuara issues na sisi tujifunze.Ccm imetekwa na vibaka By makongoro

Bado umelewa mchana sijui uko kwenye kiwanda cha gongo kisheria au wapi wewe?
 
Kweli mkuu, binafs nimeshuhudia ccm wakizomewa sana kwa kukosa hoja za msingi ila wamejazwa personal issues ambazo hata wa kuzithibitisha n mungu pekee.
Nape na team yake inabd awafunze upya, itafikia hatua mtaonekana vilaza wa kufikiri.
Cc mali si pesa

Tupia clip hapa wakiwa wanazomewa ili tukuunge mkono kamanda maana JF IMEBADILIKAMkama huna ushahidi usikurupuke aisee!
 
Kwa waliojitokeza mpaka kuwania uraisi upande wa CCM sijaona wakushindana na Dr Slaa raisi wa mioyoni mwa watu
 
Aanze kukata kwanza mirija ya ufisadi wa chama chake kwenye Ruzuku wanayopewa na serikali ya CCM ndo ahanie kwingine wee vp?

Tujenge hoja kinzani hoja dhaifu hazina afya humu ndani. Tuwape elimu watanzania wanufaike na mitandao ya kijamii.
 
Aanze kukata kwanza mirija ya ufisadi wa chama chake kwenye Ruzuku wanayopewa na serikali ya CCM ndo ahanie kwingine wee vp?
Mahayani wengi nchi hii ruzuku inatokana na kodi za wananchi ccm wanapokea ruzuku kama vyama vingine acha ujinga, kama kuna shida kwenye chama chake na vyombo vya usalama vya serikali ya CCM vimeshindwa kuwakamata na kuwapeleka mahakamani ujue ni serikali dhaifu inayopaswa kuondolewa
 
Angekua kamanda na mwanamapinduzi mbona kakimbia upadre si kwa sababu sheria zilimshinda akakalia kuendekeza michepuko teh teh teh na awamu hii Oktoba nawaambia mjiandae kususia sherehe ya kuapishwa Rais mpya uwanja wa Uhuru, aaaa nimesahau nyie mtaanza kususia kwenye utangazaji wa matokeo ya Urais kama ilivyokua 2010.
Hizi ni fikra za watu waliougua kwashikoo na unyafuzi, Dr Slaa ni binadamu kama binadamu wengine wana utashi alitumikia upadri alipoona ametosheka akafuata taratibu za kanisa akaacha na kuendelea kufanya yale ayapendayo , kama binadamu wengine ambavyo wamebadilisha kazi au shughuli zao kadri matakwa yao walivyotaka ni change of job
 
UKAWA wajidhatiti wapiga kura wajiandikishe ili wapigiwe kura. Maandamano bila kujiandikisha ni kazi bure.

Haujasikia MLIO wao kwenye UJUMBE toka kwa Mzee wa NEC Lubuva?Ati Chadema hawaruhusiwi kufanya kampeni ya kujiandikisha ni kazi ya NEC...............Ukijumlisha unapata jibu..................
 
taifa letu linahangaika kuzuia baadhi ya wanyama ambao ni big five kutoweka....linasahau kuna mwingine mhm sana wa kumlinda...Dr silaa ni hazna kubwq sna na duniani wqnatoweka kwa kas xn

Umesomeka vema, Mimi na wewe tumlinde huyu Dr slaa hakuna atakaye haribu afya yake. Mimi sina chama nachambua wagombea wote nikimtizama Dr slaa kwa upande wa ukawa ni tishio sana kwa ccm. Tumuombee ili alete ushindani mzuri na changamoto kule ugambani.
 
Tumika tu muulize ile ndoto ya 2010 kama kaisahau, na this time CCM wana hasira na nyie kisa mmejiunga UKAWA wana makombora ya kuwapiga kwa mpigo na mtakufa kwa pamoja kisha wanawatawala milele! Teh teh teh ni sheedah sipati picha mna yoweweseka mkiwasikia CCM
Mafisadi mabazazi na majambazi wa mali za umma CCM utawalinganisha na nani kwenye UKAWA tangu Enzi za EPA Richimond, ESCROW mwana ukawa yupi alikuwemo mwana CCM yeyote anayewania uraisi ni fisadi tu listi ya wote waliotangaza so far mafisadi watupu hakuna mwenye rekodi safi hata waoshwe kwa jiki mafaili yao yapo wazi muda na wakati wagonjwa wapewe mikanda yao
 
Tupia clip hapa wakiwa wanazomewa ili tukuunge mkono kamanda maana JF IMEBADILIKAMkama huna ushahidi usikurupuke aisee!

mimi ni shaidi tuliandaa mkutano kwenye tawi Kishiri mwanza,Mimi mwenyekiti wa tawi nilipoanza Slaa mzinzi amechukua mke wa mtu nikashushwa jukwaani kwa matusi na kupondwa mawe.Nchi imebadilika watu wanataka sera za kuwapeleka mbele sio majungu.CCM jamani tubadilike ndio tutaendelea kushika dola
 
ccm wenzangu wapendwa jamani tupeni hoja za mashiko.tunakaria majungu ya padri,mzinzi sisi uku kwenye mikutano tukiviongea tunazomewa.jamani leteni hoja nasisi tujifunze tuitetee ccm yetu sio majungu

ya umenena hzo mziki wao wa padre cjui mzinzi umepitwa nawakati.watz wanataka mtu mwenye vision kubwa km dr slaa atakeyevusha tz kuelekea kanani
 
Back
Top Bottom