Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

mshikachuma usiwe na tabia ya wapiga ramli ukadhani umejaliwa kipaji kumbe unaidanganya akili yako mwenyewe. Toka lini mimi nimekuja hapa na majina zaidi ya hili nalotumia. Sijawahi wala sitoweza kubadilisha jina toka naingia kumbi za mijadala kama hii miaka 15 iliyopita. tabia za kinafiki mnazo nyie mnaojificha nyuma ya pazia mkadhani kila mtu ni kama nyie.

Kama nina jambo naliweka wazi sipo hapa kuzungumzia watu bali nazungumzia Issues na hata hizo Events mnazileta nyie mimi huzitazama na kuchangia katika uhalisia wake tu. Sipo hapa kumzungumzia mtu iwe Dr.Slaa ambaye kwenu nyie mnamuona kama nabii wa Mungu kuikoa Tanzania. Ni imani yenu na sitowaingilia ila tu msitake kunishawishi mimi katika imani hiyo.

Wakongwe , sharti tuwe na ngozi ngumu ,,,,,,
 
LUBUVA amewapiga marukufu UKAWA kuenneza somo la kujiandikisha na kuhakikisha wanapiga kura.
kwahiyo elimu hii inakuwa ni tete na inaonekana kama kuna agenda ya siri katika mchakato wa BVR ccm kupitia tume wamesha panga hesabu zao na wamepanga wapi pa kuwaandikisha watu wao kwa wingi ili zile sehem zenye upinzani idadi ipungue na ccm waweze kupiga bao lkn tumegundua na lazima kieleweke safari hii tunajiandikisha na tunapiga kura

Na unajua tungekuwa na wanasherianTanzania saa hii Tume ingekuwa kko mahakamani na imebadili mwenendo.Lakini wanasheria wetu wamelala usingizi wanasubiria kuandamana na ile sentensi yao ya haki za binadamu yaani sijui niwaelezeje hawa wajamaa....
 
DR SLAA NI JEMBE lenye uwezo wa kulima popote tz na duniani.........ATAPITA TU NA ASUBIRIE KURA ZA KISHINDO KUTOKA KWA WATZ
 
Kuna hoja nimeiona humu jamvini inasema kuna mikoa uandikishwaji ulifanywa kwa haraka sana hadi waliotakiwa kuandikishwa hawakuandikishwa. Ngoja niitafute huo uzi nikutag.

Tatizo letu kubwa ni kutojua vipaumbele,hapa wanasheria wangekuwa busy kutafuta suluhu mahakamani ya haki za msingi za watu kuandikishwa siyo mpaka vurugu zianze.Vyama vya upinzani navyo naona kama tunacheza ngoma ya CCM bila kujua.Sielewi akina Lissu na Halima wako wapi kwenye hili.

Ni shida sana.Saa hizi huko bungeni kungekuwa na mkabano wa koo ili haki za msingi za watanzania ziheshimiwe.
 
ni kweli lkn ukishaona hivi usionyeshe mihasira yako huwa wanapenda sana wakigundua unamihasira ndo wanakuzidishia mwishowe utafana na FAIZA:confused2:

Ah!Wapi hawa wanadeserve dhihaka tu.Wala sina haja ya kuwatukana wapumbavu maana hawajui maana kamili ya UHURU WA MAWAZO.Huwa wanawatafutia watu BAN.Nimeshawajua naangalia sana maneno ninayotumia.Usiwe na hofu tutabanana humuhumu JF na kitaeleweka tu.
 
Ukiona Dr.slaa anasemwa hafai kuwa Rais,ni kwa wanachama wa ccm ambao wamezoea kunufaika na dili la ccm la kuiba,nyang'anya na kila aina ya ubadhilifu.

Mchwa walioko kwenye Halmashauri na Ikulu au kwenye wizara hawatamani kusikia jina la Slaa,hivyo tusiwashangae


Mchwa wa
 
Ukiona Dr.slaa anasemwa hafai kuwa Rais,ni kwa wanachama wa ccm ambao wamezoea kunufaika na dili la ccm la kuiba,nyang'anya na kila aina ya ubadhilifu.

Mchwa walioko kwenye Halmashauri na Ikulu au kwenye wizara hawatamani kusikia jina la Slaa,hivyo tusiwashangae


Mchwa wa
Makongoro Nyerere kasema Ccm inaongozwa na vibaka
 
Ukiona Dr.slaa anasemwa hafai kuwa Rais,ni kwa wanachama wa ccm ambao wamezoea kunufaika na dili la ccm la kuiba,nyang'anya na kila aina ya ubadhilifu.

Mchwa walioko kwenye Halmashauri na Ikulu au kwenye wizara hawatamani kusikia jina la Slaa,hivyo tusiwashangae


Mchwa wa

Bora mchwa wana faida maana wanalinda kumbikumbi wasipate madhara!Mende wana mabawa makubwa kama magwanda ya kaki ukiwashtua tu wanakimbilia chooni!
 
Ingawa sasa CCM ndiyo habari ya mjini, Dr. Wilbrod Peter Slaa asisahaulike. Ingawa mchakato wa kutangaza nia ndani ya CCM umeteka kilamedia hapa nchini, Dr. Slaa ni mwiba mkali kwa CCM yetu kama akiridhiwa na UKAWA kupeperusha bendera yao hapo Oktoba.

Kwa mwitikio anaoupata kwenye mikutano ya UKAWA huko apitapo na ninayoyaona humu nitembeapo,Dr. Slaa ni silaha tegemezi ya UKAWA.

CCM iwe pamoja au iwe vipandevipande baada ya mchakato wa ndani wa kumpata mgombea wetu, Dr. Slaa hatatetereka wala kuimarika.Atabaki kama alivyo: imara as ever. Iko wazi kuwa Dr. Slaa ana mtaji kuanzia safari yake ya Oktoba endapo UKAWA wakimpitisha.

Anaweza kubezwa na kukejeliwa lakini yeye ni mwanasiasa wa kufanyiwa maandalizi ya kutosha. Mgombea yeyote wa CCM na wengineo angetamani kikombe cha Dr. Slaa kimuepuke.

Yupo kwenye kumbukumbu ya watanzania kama mwanasiasa aliyethubutu kupambana na mafisadi,kwa vitendo, kwakuanika a List of Shame pale Mwembeyanga-Temeke, orodha ya mafisadi inayojidhihirisha kila kukicha.

Niseme tu, Dr. Slaa is one of the most complete politicians from the opposition. He is, normally, slow but sure! Hata asipokuwa mgombea wa UKAWA, atakuwa kiungo muhimu kwenye timu ya UKAWA.

Nitasema ukweli daima, fitina kwangu ni mwiko!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Tabora)

Kila unaekutana nae mshauri akajiandikishe ili tuzike cccm vizuri hapo October. Ukawa ni hareeee, Weraweraaaaaaaaa
 
Ukiona adui yako anakushauri jambo fulani liangalie mara mbili unaweza kuta anakuingiza chaka. Yetu macho
 
Back
Top Bottom