Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,463
- 7,256
Atuambie kwa nini alimuasi Mungu, Majukumu aliyopewa aliyakimbia teh teh teh leo apewe uprezida atatuacha solemba huyu!
Duh, ulikutana wapi na huyo Mungu akakwambia...fulani kaniasi!!?
Dr Slaa ndie kiboko ya CCM ....na sasa hivi kaacha vichwa kibao vya kumrithi CDM!!