Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,463
- 7,256
Unamzungumzia nani vile Padre mwambie akatimize nadhiri yake kwanza kanisa Katoliki afu ndo aje uraiani,la sivyo ataishia kunawa wenzake wanakula unwabwa!
Alipotaja list ya misadi...jina la Mr Dhaifu lilikuwa la kwanza, Mamvi ndani na mijizi mingine yoote ya CCM...huyo ndie Dr Slaa bana, hogopi majizi!!