Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
kumbe ni huyu ? asante kwa kumuumbua mkuu .
Teknolojia ya kutengeneza gongo kisheria inafanya kazi endelea mkuu TBS watakufikiria!
kumbe ni huyu ? asante kwa kumuumbua mkuu .
Je unajua kuwa Konyagi ni gongo kiwanda chake kioo mitaa ya viwanda ya Chang'ombe? Hicho kiwanda ni wazo la Slaa? Umri wa kiwanda hicho si zaidi ya umri wako,? Ni rekodi ipi unadhani imevunnwnwa?
There is no other way...Dr.Slaa is the next president,he is loyal and influential,a man with extraordinanary power granted by holy spirit.
There is no other way CCM will fall and UKAWA will prevail to the minds and soul of Tanzanians.
UKAWA wajidhatiti wapiga kura wajiandikishe ili wapigiwe kura. Maandamano bila kujiandikisha ni kazi bure.
Dr Slaa ndio kiboko ya ccm na ni mwiba hasa !na sasa yuko fiti sana ! tumshukuru sana Mungu kwa kumuumba huyu mtu ndani ya nchi hii .
Wewe mnywaji wa viroba ndo unajua!kajadilianeni na Silaha na wauza gongo pisha hapa!
Mzee wangu kwa ushauri tu,kama mnaipenda Tanzania yetu aka TAIFA letu basi safari hii tuipeleke IKULU kwa WAPINZANI
Wewe kibaka hiyo ni hofu tu maana umezoea vya kushonga wewe na wenzako hamjui kutumia halali.
Akija Dr Slaa anakuja kukata hiyo mirija inayowafanya mnyonye watanzania
Mkuu huyu jamaa inaonyesha sense organs zake zimepararaizi hata akiambiwa kula majani anakura hawa ndo viongozi wa maandamano!
Kwakweli Slaa ni zawadi toka kwa Mungu kwa watanzania
Huyo hana tofauti na Yuda Eskariote!
ccm wenzangu wapendwa jamani tupeni hoja za mashiko.Tunakaria majungu ya padri,mzinzi sisi uku kwenye mikutano tukiviongea tunazomewa.Jamani leteni hoja nasisi tujifunze tuitetee ccm yetu sio majungu
Aanze kukata kwanza mirija ya ufisadi wa chama chake kwenye Ruzuku wanayopewa na serikali ya CCM ndo ahanie kwingine wee vp?
Hahhaaaa unamsema yule Supreme leader ? Ayattolah wa Mwandiga ?
Mbona ujio wa jina lako vimeendana sana na taarifa za uzinduzi wa Operesheni Majimaji ?
Lumumba na mchepuko wake wakilisikia Jina Dr.Slaa wanapatwa na kihoro na hofu kuu.......
Namsema huyo babu, waumini wa Roman Catholic wanamuona amekaa mkao wa Yuda Eskariote!
Haaa unasema nini babu aka captain wa Buguruni team nae ana kimchepuko chake teh teh muulize 2010 walijificha wapi wakati tume inatangaza matokeo?