si ndicho jamii ianachotaka, akithubutu tu atakuwa amefupisha mchakato wa kumjua vizuri . Maisha yanaendelea lakini wadau wana data, na hivi kwenye mchakato wa 'kuvuana magamba' mengi yatajulikana tu!Mmh haya makubwa tena. Basi tunasubiri kujua mengi.
Kwani naamini wazi kuwa Kijana ni mwanasheria na anajua fika sheria za nchi hivyo kama ataona au kuhisi kuwa amedhalilishwa basi atafikisha suala hili mahakamani ili zilijulikane mbivu na mbichi.
Thanks for the info Dr
kazi ipo mwaka huu...
halafu nimegundua mlengo wa kati wewe mwenyekiti wa mapimbiKumbe Dr Slaa ndio Mwalimu wa Kuzomea! Hopeless!
280 bilion kwa kweli hapa ndipo umuhimu wa kuwa na kiongozi kama Dr Slaa huyo RIZWANI kama ni bilioni hiyo n hela ya baba yake anamshikia tu kwa muda,
matajiri wangapi vijana wamemaliza chuo juzi mbona hamuwafatilii ? Husda ndio zinawasumbua
dr slaa siwezi kupinga unachokiongea maana wewe ni miongoni mwa viongozi wa kisiasa hapa tanzania, je? Vipi wananchi tunaweza kuthibitisha kauli zako unazosema tunaomba utuletee na ushahidi na sio maneno maana tunawaelewa wana siasa mulivyo na maneno mengi vinywani mwenu, kama unazo hizo documents za ushahidi wa mapato ya muheshimiwa ra na riz kwa nini musiwatumie wanasheria wenu wa chadema kuwapeleka mahakamani kama muna wasiwasi na source za mapato yao.
Mengi unayoyaongea ni kwa ajili ya maslahi ya nchi lakini je rizwan kumiliki mabilioni ni kitu cha hatari? Naelewa kwa ufahamu wangu rizwan ni mtoto wa rais na baba yake alikuwa waziri katika wizara nyingi sana hapa tanzania kabla ya kuwa rais; ninavoelewa mimi rizwan kumiliki bilioni moja si kitu cha ajabu, eti kamaliza shule juzi ndio asiweze kumiliki hiyo ela haiingii akilini hata kidogo kwa mtoto wa kimasikini sawa ila riz sio mtoto wa kimasikini akashindwa kujiingiza kwenye masuala ya kutafuta pesa.
Kama mna ushahidi wa wizi wa fedha muende mahakamani au kama ni siasa tu basi endeleeni (sikupingi dr slaa huwa napenda ila ushahidi wako uko wapi?) tuwekee ushahidi ila tunapomwita mtu fisadi kama riz kweli tujue ili tusipate dhambi kumjadili mtu bila ya ushahidi.