Mh. Dr Slaa nikupengeze sana kwa kazi nzuri unayofanya. Nakunaliana na MM na kwa kuongezea naomba CDM muengeze efforts kwenye kuweka CCM UNDER THE SPOT-LIGHT kwa ahadi zake. Nimeomba hili kwenye post yangu nyingine naomba nirudie tena hapa kwamba CDM iweke BANGO kwenye office makao makuu -DSM na huko mikoani ya count down to 90 days tangu kujivua gamba. Hii itahamasisha wananchi wengi zaidi kufuatilia kwa karibu ahadi au propaganda za CCM.
mimi naamini kuwa CHADEMA sasa yahitaji michango ya wananchi ya hali na mali kwa kuwa sasa imedhihirika wazi kwamba CDM ina matakwa na nia kamili ya kuleta mabadilioko na maendeleo kwa watanznia walio kalia uchumi mkubwa katika nchi yao kwa miaka mingi bila kupata mafaniko
kutoa ni moyo usambe ni utajiri.... !