MILKYWAY GALAXY
JF-Expert Member
- Dec 12, 2008
- 204
- 87
Mzee MM,
Heshima kwako!
Ni jana tu nilikuwa najadiliana na mwenza wangu kuhusu hatma ya nchi yetu na vizazi vyetu.
Nimekuwa na wasiwasi sana, na inaniuma sana kwamba chama kilichopo madarakani kanafanya kitakavyo na sisi wenye nchi tunawaangalia tuu, helpless!
Tunahitaji vyama mbadala, vyama vyenye nguvu, vyama vitakavyo fanana na mahitaji yetu.
Chama cha siasa ni nyenzo tuu, sio MUNGU,
Tunaweza kubadili wakati wowote tunopoona inafaa,
Nasema tena, chama cha siasa ni kama kisu, kijiko, kikombe (sio cha babu), jembe nk
Nyenzo ikichoka, ikivunjika, ikipiga kutu, ikipitwa na wakati, ikikengeuka inabadilishwa tuu,
Tusiogope watanzania,
Hivi vyama vya siasa ni kutusaidia kupata maendeleo,
Havitakiwi viwe mizigo, kansa au miungu,
Tuamke na tulete mabadiliko kwa faida yetu na vizazi vyetu1
Heshima kwako!
Ni jana tu nilikuwa najadiliana na mwenza wangu kuhusu hatma ya nchi yetu na vizazi vyetu.
Nimekuwa na wasiwasi sana, na inaniuma sana kwamba chama kilichopo madarakani kanafanya kitakavyo na sisi wenye nchi tunawaangalia tuu, helpless!
Tunahitaji vyama mbadala, vyama vyenye nguvu, vyama vitakavyo fanana na mahitaji yetu.
Chama cha siasa ni nyenzo tuu, sio MUNGU,
Tunaweza kubadili wakati wowote tunopoona inafaa,
Nasema tena, chama cha siasa ni kama kisu, kijiko, kikombe (sio cha babu), jembe nk
Nyenzo ikichoka, ikivunjika, ikipiga kutu, ikipitwa na wakati, ikikengeuka inabadilishwa tuu,
Tusiogope watanzania,
Hivi vyama vya siasa ni kutusaidia kupata maendeleo,
Havitakiwi viwe mizigo, kansa au miungu,
Tuamke na tulete mabadiliko kwa faida yetu na vizazi vyetu1