Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
pole sana msamehe na move on with ur life. looh mi wa kwangu nakumbuka alinifanyia vituko na akaniacha vibaya nakumbuka kwa hasira nilimwambia hutakaa ushike mtoto wako maishani, looh last week kanitafuta kwa email ananiambia laana yangu imeshika maana mpk sasa hana mtoto na ameshaoa na ananiomba msamaha, mi nilishasau na hata nimeshaolewa na nina watoto. nimemsamehe na ninamuombea apate mtoto. hii midomo yetu ina power sana. mi sikujua kama laana imeshika.