Siwezi kumsamehe huyu.

Siwezi kumsamehe huyu.

Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.

pole sana msamehe na move on with ur life. looh mi wa kwangu nakumbuka alinifanyia vituko na akaniacha vibaya nakumbuka kwa hasira nilimwambia hutakaa ushike mtoto wako maishani, looh last week kanitafuta kwa email ananiambia laana yangu imeshika maana mpk sasa hana mtoto na ameshaoa na ananiomba msamaha, mi nilishasau na hata nimeshaolewa na nina watoto. nimemsamehe na ninamuombea apate mtoto. hii midomo yetu ina power sana. mi sikujua kama laana imeshika.
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Utajiju tatizo siku hizi mkitongonzwa kidogo tu ni ndiyo mzee,mtu hata hujamfahamu vizuri mnadanywa tu,tamaa za hela hizo.Kisasi cha nini sasa anza mbele,aliekuambia ulizaliwa na yeye ni nani?
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.

Usiwe mtu wa upanga kwa upanga. Muache tu dunia itamlipa kwani malipo ni hapa hapa dunia
 
Huyu ni mwanaume
alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua
hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae
mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad
niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn
kwa nn amenijua.

Ndo nini ulichoandika badala ya kuelezea alichokutendea ili ushauriwe unalalamika na kumaliza
 
Siku hizi watu mnakuja na IDs tofauti kwa lengo la kuwachamba watu. Huyu mwanzisha mada kajiunga tarehe 24 Novemba na hii mada ndo bandiko lake la kwanza.

Sidhani kama ni mgeni huyu. Atakuwa ni wa siku zote hapa lakini hana ujasiri wa kutumia ID yake ya siku zote.

Pathetic cowardice.
 
Me alontenda nikatendeka hua ananipigia cm tunasalimia me nlikua nasema nkimnunia atajiona kaniweza ngoja niongee af ntafute mwanaume mwengine zaid yake nimkomoe lakini wapii naona nakomoka mimi yaani huaga kila akipiga cm nawaza nimfanyaje kumkomoa jibu sipat ana kitoto ananiambiaga nkamuone saitak hata kusogea nahic naeza kukadhuru buree ila ngoja tu ntakuja kujua cha kumfanya maana kila nikimuona nahisi ana rahaa tele wala hajawai jutia alichontenda basi nna duku duku balaa!
 
How was he supposed to like your personality if he didn't even like your eyebrows?

Sometimes you end up loosing yourself trying to hold onto someone who didn't care about you!

Forgive and forget.
 
Kama hakupangwa kuwa wako hawezi kuwa wako, samehe na sahau utapata bora zaidi yake.
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.

inaezekana haunogi kabisaaa yaani wa baridiiiiiiiiiiiii, hautiii stimuuuu....ku do jamaaa mpaka amvutie picha beyonce, kwa nn usiachwe
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.

Pole lkn punguza hasira. Huenda akaja kukufaa baadae
 
Me alontenda nikatendeka hua ananipigia cm tunasalimia me nlikua nasema nkimnunia atajiona kaniweza ngoja niongee af ntafute mwanaume mwengine zaid yake nimkomoe lakini wapii naona nakomoka mimi yaani huaga kila akipiga cm nawaza nimfanyaje kumkomoa jibu sipat ana kitoto ananiambiaga nkamuone saitak hata kusogea nahic naeza kukadhuru buree ila ngoja tu ntakuja kujua cha kumfanya maana kila nikimuona nahisi ana rahaa tele wala hajawai jutia alichontenda basi nna duku duku balaa!

niPM nikuambie kitu
 
Utajiju tatizo siku hizi mkitongonzwa kidogo tu ni ndiyo mzee,mtu hata hujamfahamu vizuri mnadanywa tu,tamaa za hela hizo.Kisasi cha nini sasa anza mbele,aliekuambia ulizaliwa na yeye ni nani?

nitumie namba yako PM nikutigo pesa , umeongea point sana
 
pole sana msamehe na move on with ur life. looh mi wa kwangu nakumbuka alinifanyia vituko na akaniacha vibaya nakumbuka kwa hasira nilimwambia hutakaa ushike mtoto wako maishani, looh last week kanitafuta kwa email ananiambia laana yangu imeshika maana mpk sasa hana mtoto na ameshaoa na ananiomba msamaha, mi nilishasau na hata nimeshaolewa na nina watoto. nimemsamehe na ninamuombea apate mtoto. hii midomo yetu ina power sana. mi sikujua kama laana imeshika.

duh bibi.com utakuwa mchawi si bure
 
Jichunguze mwenyewe mwanamke gani mwenye mihasira hivi? Tabia hii imemfanya akukimbie kama hujui!
Haiba ya kike ni upole, utu wema, uvumilivu, akili na maarifa bibi wee!
Tulizana rudisha smile kwenye uso wako, fanya kazi kwa bidii, boresha maisha yako uwe mwanamke mfano wa kuigwa! Atakuja tuu Mr. Right wako!

Mmh una tu ukweli, akiisoma hii itamsaidia
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.


Usijiumize moyo bure dada. Si lazima yeye akupende wewe, alikutupa kwa sababu aliona humfai sasa visasi vya nini?
 
Msamehe bure ili uwe uhuru. Utapata mwingine atakayekupenda kuliko hata huyo baba Japhet.
 
Back
Top Bottom