BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Yamekuwa hayo tena ya kulipiza kisasi!? Naona tindikali au bistola inahusika hapa!!!! Dah!!! angalia usije kuishia lupango maisha.
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Last edited by a moderator: