piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Hasira za nini dada????? kitumbua tulipewa tugawe tena bure kabisaaaaa!!!!!!!!!! usipende fadhila dada....
Big up, nimeipenda hii
Hasira za nini dada????? kitumbua tulipewa tugawe tena bure kabisaaaaa!!!!!!!!!! usipende fadhila dada....
una bistoli au utamsema weee mpaka afe....!
Amekusababisha uwe na chuki kwa wanaume wote??!!
Akiwemo mzazi wako wa kiume???
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
tulia tu mkuu utapata wakukuliwazaukilipa kisasi haisaidii katu jitume tu.. au ni pm
genye zinakusumbua tafuta mwanaume akutie kisawasawa. utamsahau huyo aliyeoa
heheheheeheh tatizo watu wanajitoa sana kwenye huu uchumba bila kuzisoma alama za nyakati bana sasa utaacha kulia ???sasa uchumba tu mtu anampa mitandao yoote akikuacha utaacha lipa kisasi ukikumbukia hahaahahahah aiseeTATIZO WATU wanayachukulia mapenzinyaloisha kama hitler alivyokuwa anawaona wayahudi vile
KWANI keeeesiiiiiii !
af mi mtu akiwa analia lia hivi kwa kuwa ameachwa namuona namna anavyozidi kumpa kichwa huyo aliyemuacha!
IT JUST DIDNT WORK move on!
Aaargh
umia kidogo th songa mbele!
kwani lazimaaaaaaaaaaaaaaaaaa?
SASA MTU UMEJIKALIA HUKO UNAAPA VIAPO VYOTE MWENZIO KASHAOA!KASHAZAA!ANAJILIA MARUTAMU TU alikohata hajui maskini unahangaika!
unabaki kuacha kuchukua fursa za mabebs waliokaribu yako!
kyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!naskia hasira miiiiiiimi!
mwali kwanza hebu nigambire nakuona wapi unipe novel zangu!eeenh zangu kwani hujasikia?