hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Jamani namuona TATA MADIBA kwa avatar yako
Umeipenda eeh?
Imekuwepo mda mrefu sana hiyo.
We unadhani hizi hekima zinazomwagika hapa zinatoka wapi?
Tehe tehe tehe tehe tehe
Jamani namuona TATA MADIBA kwa avatar yako
Hahahaa unamchokonoa mwenzakooooooo!
heheheheheheheheehh halohaloloooooo:tape::tape::tape::tape::A S 39:
heheheheheheheheehh halohaloloooooo:tape::tape::tape::tape::A S 39:
Umeipenda eeh?
Imekuwepo mda mrefu sana hiyo.
We unadhani hizi hekima zinazomwagika hapa zinatoka wapi?
Tehe tehe tehe tehe tehe
Pole mummy,..hasira itakuumiza,jichanganye na watu,get urself another man(uwe careful ths tym),fanya maendleo binafsi kw ujumla,there is no better revenge than happily moving on,sio rahisi aisee,bt mi nimetoka huko ndo mana nakupa ushuhuda,kinachofuata ni meneja mmoja hvi naona kashaanza kujileta,he's way better than my x
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Nitalipiza kisasi kwa kitu kingine na sio mapenzi, mapenzi ni yakuumia leo kesho unapona maisha yanaendelea, na nikiachana na mtu huwa sitaki bifu nae tukikutana tunasalimiana kama kuna dili lolote tunapeana,. kuachana na mtu sio muwe maadui. mimi tukiachana nakugeuza kuwa rafiki sijali umenifanyia nini, ulinifanyia nini najua yote yaliletelezwa na mapenzi tusingekuwa wapenzi katu usingenifanyia hayo uliyonifanyia.
Unajua kuna kitu huwa hatukijui, ukikubali kupendwa kubali na kuchukiwa, ukikubali kupenda kubali na kuchukia, ukiingia kwenye uhusiano expect na visivyotarajiwa. na unaweza ukawa wewe ndo mwenye matatizo lakini ukawa unamlaumu mwenzio, kamwe sitalipiza kisasi wala sitamchukia mtu kuhusu mapenzi. Utalipiza kisasi kwa wangapi?Dah umeongea point sana aisee!!
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.