kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 687
Kwan fb ndo sehem pekee ya kupost personal issues?jf ni nn?Hivi siku hizi JF imekuwa ni FB ya post personal issues???
Haya endelea kumtafuta mbaya wako.
Kwan fb ndo sehem pekee ya kupost personal issues?jf ni nn?Hivi siku hizi JF imekuwa ni FB ya post personal issues???
Haya endelea kumtafuta mbaya wako.
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
ohoooooooooo.............
Acha mikwara mbuzi wewe...
Hivi siku hizi JF imekuwa ni FB ya post personal issues???
Haya endelea kumtafuta mbaya wako.
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Dr unafanya masihara eeh.........hivi hujui mwenzio ana hasira.......
Hahahahaaaa Mpwa swali gani tena hilo? alimpa visivyopewa akijua kuwa ndio amefika mwisho, haya sasa!!! Utampaje mtu vitu visivyoruhusiwa???
Mtu mwenyewe kaanzisha thread ya kuomba radhi
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/566857-nimemuumiza.html
Kaachwa hivyo anauchungu sana