Siwezi kumsamehe huyu.

Siwezi kumsamehe huyu.

lakini huyu jamaa alikufanya vibaya sana bana!!!!

sio vizuri kabisa!!

we utamnyonya mwenzio weeee bila kumgegeda!!!

we mtafute tu!!

natamani hiyo nafasi ya kutafutwa ingekuwa yangu....!!!!!
 
Nitalipiza kisasi kwa kitu kingine na sio mapenzi, mapenzi ni yakuumia leo kesho unapona maisha yanaendelea, na nikiachana na mtu huwa sitaki bifu nae tukikutana tunasalimiana kama kuna dili lolote tunapeana,. kuachana na mtu sio muwe maadui. mimi tukiachana nakugeuza kuwa rafiki sijali umenifanyia nini, ulinifanyia nini najua yote yaliletelezwa na mapenzi tusingekuwa wapenzi katu usingenifanyia hayo uliyonifanyia.

Nakukubali miss wa kinyaru well said
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Babu yangu aliwahi kuniambia kuwa chuki umuumiza sana anayoiweka kuliko yule anayochukiwa. Mwenzako yuko na familia yake huko wana enjoy maisha wewe unaongeza vidonda vya tumbo na stress kwa kutosamehe. Samehe na sahau maisha mafupi haya kuwekeana visasi.
 
hawa mademu wa siku hz pasua kichwa sana... ngoja nifatilie ishu ya bashite kwanza halaf ntarudi kukusaidia kumtafuta!
 
Atakuwa anaota huyu anafikiri mwanaume anapatiwa kisasi kizembe hivyo
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Pepo la kisasi SHINDWAAAAAAAAAAAA
 
Back
Top Bottom