Siwezi kumsamehe huyu.

Siwezi kumsamehe huyu.

Mpwa wangu wakati mnapeana mavituz mbona hujawahi kuanika hayo maraha yenu? mbona sasa leo unakuja unatoka povu hivyo? Mi wanawake wote nilioachana nao tuliachana kwa amani na karibia asilimi 99% ninaendelea kuwasiliana kwa deal mbali mbali........mmoja aliolewa na tena sitasahau meseji yake iliokuwa na maneno haya UKIUMWA NA NYOKA UKIONA NYASI UNASHTUKA japo sikuelewa maana yake hadi kesho but tumeendelea kuwa marafiki sana tu, ananipigia simu nampigia tunaendelea kuwasiliana na LIFE goes on.
 
huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.

yaani umejiunga jf kwa ajili ya kuweka ujumbe huu tu..alikula mini kabang nini?au umesikia kuwa ni mwanachama wa jf?
Pole sana ndim usipende kulipiza kisasi
 
Dua la kuku???
Wenzio wanaoa na kuendelea na maisha yako wewe bado upo nyuma ukiumia na mambo ya kale.......
 
yaani umejiunga jf kwa ajili ya kuweka ujumbe huu tu..alikula mini kabang nini?au umesikia kuwa ni mwanachama wa jf?
Pole sana ndim usipende kulipiza kisasi

kumbe mini kabang ndio imetumika kupunguza ukali wa maneno loo!!! Asanteni
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.

pole sana dada yangu kwa yaliyokukumba,natambua haluna mtu amayeweza kufahamu uchungu uliosababishiwa na huyo mtu,but what i believe the most painful revange ever given is that of forgiving,msamaha na in fact mtakie one day atakuja kwa miguu yake ku admit that he was wrong,pole sana.
 
Ndio huyu hapa nimeshampata usijali tena

Bahati nzuri na yeye kaanzisha thread
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/566857-nimemuumiza.html

Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
 
We mdada kwani huyo kaka ulizaliwa nae Kwani ww hujawahi kumwacha mtu anaye kupenda! Ushauri endelea na maisha yako na Mungu atakusaidia, achana na huyo kaka na yeye aendelee na maisha yake!
 
Nelson mandela ; No one is born hating another person because of the color of his skin, or his background, or his religion. People must learn to hate, and if they can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite.”

1386661817207.jpg 1386661817207.jpg
 
Acha mikwara mbuzi wewe...

Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
 
nipo UKEREWE NJOO ,UMEJIANDAA VYA KUTOSHA.
WEWE SI ULINIZINGUA?
WANAUME HUWA HATU CHULIWI.
MWANANGU ANAITWA JAPHETI.



Uje SD jion,kama utaweza fika upo ukerewe,then uniambie upo wapi nimtume mtu atoke Muriti akufuate ulipo.
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.

hiviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii naomba kuuliza MAPENZI NI FADHILA??? Kaizer, snowhite nijibuni jamani
 
Last edited by a moderator:
nunua busara za Mandela usije ukaishia kuwa Mushi ama Munisi ohoooo..
 
jifunze kusamehe, maisha yatakwenda tu mbele bila yeye
 
Back
Top Bottom