Siwezi kumsamehe huyu.

Siwezi kumsamehe huyu.

If your current boyfriend is reading this, you might face another depression...
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.

Nakuomba ujifunze kusamehe kama Tata Madiba
 
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
acha utoto wewe, maisha ndivyo yalivyo, hata ukimuua au kumsababishia kilema haitakusaidia
 
duh bibi.com utakuwa mchawi si bure

sio mchawi ukiweza kutumia power yako vizuri kila kitu kinawezekana, niliongea kwa hasira sana na nilikaa kwa uchungu sana for one week. kwa kweli uchawi siujui nahisi hizi power within us ukizitumia vizuri tu
 
Hivi unawezaje kumpa mtu nafasi kubwa hivyo ya nafsi,moyo na mind yako akucontrol kiasi hicho....he doesnt desrve all the attention for God sake...learn to let it go,no one is saint....life is too short to worried abt someone who is living his life now,while ur their crying and cursing.
 
Afu umekuja kuwaje dakika za mwisho tunasusana namna hii ?

I miss you moreee my dia Nivea

Sijui nani kakuficha asee
Erickb52 anakusalimia sana
Tena nimemmiss sana dada yangu Nivea

Hivi mumy hii mvua huioni tu?
Mbona hali ya hewa inanikwaza sana Chocs wangu!
Halafu mwambie huyu mtoa mada atulie...maisha ni kupanga..na kupanga ni kuchagua!
Asamehe aendelee na maisha otherwise ataishi kwa shida wakati akisamehe atakuwa na amani!
 
Last edited by a moderator:
Atajuta kukufahamu!!!!
Pole sana mamy.
Sijui alikufanya nini kikubwa hivyo mpaka unawaza kulipa kisasi.
Hicho kisasi kitakuchelewesha sana kufurahia maisha yako maana muda mwingi utakuwa unawaza pa kumpata na cha kumfanya na siku zote utakumbuka alivyokutenda. Huwezi kumdharau ukamsamehe na kuendelea na maisha yako?Maisha yenyewe mbona mafupi sana?
Utapata tu mwema atakayekusahaulisha yaliyopita maana si wote wabaya ingawa hata huyo Mwema halisi na ubaya hakosi!!!
 
bila kusamehe hutafanikiwa maisha yako
na hutaziona pepo..
Kusamehe ni jambo muhimu sana maishani ukisamehe unakuwa huru
usinganganie shukuru Mungu hayuko machoni mwako hujui umeepushiwa nini.
hakuna dhambi mbaya kama kisasi,,,,,,,,,,,,,kazi kwako
 
Hivi siku hizi JF imekuwa ni FB ya post personal issues???

Haya endelea kumtafuta mbaya wako.



Binafsi sijaona ubaya wowote!! Ilimradi hajatoka nje ya mada!!


pole sana dia, ukimwona mfyeke nyeti zake kesi nitajibu mie... alaaaa
 
Join Date : 24th November 2013
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received:
1
Likes Given:
0

sio mbaya lkn, umeanza vzr...
 
Back
Top Bottom