Siungi mkono hotuba ya Rais Kikwete, SA

Nikiwa kama mtanzania mwenye mtazamo tofauti, nimejaribu kusikiliza hotuba nyingi mpaka sasa naona ya Kikwete imejaa sana ubinafsi na dhihaka wengi wanasifu na kuutambua mchango wa Madiba lakini yeye ameonesha kuwa Madiba si lolote si chochote na asingeyafanya hayo bila Tanzania.

Historia haijirudii na ukweli ubaki kuwa ukweli kuwa tumeshiriki vyema bt yeye katumia chance hiyo kama kujihalalishia masifasifa.

Kama mlikuwa makini, vicheko vya watu havikuwa vya kuvutiwa kwa hotuba bali ni utoto na ulimbukeni wake aliyokuwa anatoa. Just imagine Madiba kusahau viatu na yeye kumpelekea, INAHUSU!!

Kikubwa ameonge mambo sahihi lakini si mahala pake.

Mwenye akili timamu ataona kuwa kuna madhala makubwa juu ya speech hii

Ametudhalilisha sana

Rais kama Rais yeye ayumbishwi na mitazamo ya watu bali ni kuongelea kile anachoamini na chenye uthibitisho yakinifu.

Kupondea hotuba ya Mh. Rais eti kwa sababu ameonesha kuwa bila ya Tanzania mchango wa Hayati Mzee Nelson Mandela kwa Taifa lake usingeonekana,hii ni sawa.

Nadhani umesahau kuwa harakati za ukombozi kusini mwa Afrika na bara zima la Afrika base kubwa ilikuwa Tanzania,Hivyo ni vema na sawa kabisa kwa Mh. Rais wetu kuikumbusha dunia kuwa Tanzania mpaka kesho ni nguzo imara ya demokrasia na ukombozi katika Afrika.

Walichokifanya hao unaowasifia eti wanamsema vema Hayati Mzee Nelson Mandela ni kama vile kujiosha tu ili kuepuka aibu na fedheha mbele ya mataifa,hakuna lolote la maana walilolifanya juu yake pindi alipokuwa kifungoni zaidi ya kumuita ghaidi na mtukutu namba moja kusini mwa jangwa la sahara.

Ni vema tukawa wakweli katika hili kuliko kupotosha watu juu ya historia hii ya ukombozi iliyotoka na shujaa,mpiganaji na mwanamapinduzi wa kweli ambaye historia yake itaenda sambamba na wanamapinduzi wengine makini ambao kamwe hawakuogopa mashinikizo na vitisho vya mabeberu ambao miongoni mwao ni Baba wa Taifa hayati Mzee Julius Kambarage Nyerere.

Naunga mkono 100% hotuba fupi na nzuri ya Mh.Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa leo nchini Afrika Kusini na kusisitiza kuwa mchango wa Tanzania katika jumuiya ya kimataifa ni mkubwa sana ndio maana leo tumeweza kutapa nafasi hiyo hadhimu kwa kiongozi wetu kuhutubia dunia kupitia mazishi hayo ya Hayati mpendwa wetu Mzee Nelson Mandela.

Binafsi leo nimeweza kupata jibu la kile nilichokuwa nafikiri kuwa ni jibu la swali la "Kwanini Tanzania ni nchi Maskini" ""Tanzania ni nchi maskini kwa sababu uchumi wake kipindi cha nyuma ulitumika kwa ajili ya ukombozi wa nchi nyingine kusini mwa Afrika na Afrika kwa ujumla,kwa kufanya hivyo mataifa ya kibeberu yaliibania nchi yetu katika michakato mingine ya kuendelea kuukuza uchumi wake.""

Sina chochote cha kuongeza zaidi ya kusisitiza kuwa uzalendo ni ktu kikubwa sana hasa pale Rais wa nchi yako anapotimiza wajibu wake kwa ajili yako mbele ya macho takribani nusu billioni dunia kuelezea kile anachoamini au kile sote tunachoamini ni kweli.Hakika ni jambo jema la kujivunia katika historia ya dunia.
 
Pimbi wewe umetumiwa na nani wakati hii ni copy & paste kutoka humu humu JF.

Hahaaaaaa....

Safi sana Comrade Matola....Naona leo unawapa vijana za uso mwanzo mwisho....

JF kuna vituko kweli siku hizi.
 
Nikiwa kama mtanzania mwenye mtazamo tofauti, nimejaribu kusikiliza hotuba nyingi mpaka sasa naona ya Kikwete imejaa sana ubinafsi na dhihaka wengi wanasifu na kuutambua mchango wa Madiba lakini yeye ameonesha kuwa Madiba si lolote si chochote na asingeyafanya hayo bila Tanzania.

Historia haijirudii na ukweli ubaki kuwa ukweli kuwa tumeshiriki vyema bt yeye katumia chance hiyo kama kujihalalishia masifasifa.

Kama mlikuwa makini, vicheko vya watu havikuwa vya kuvutiwa kwa hotuba bali ni utoto na ulimbukeni wake aliyokuwa anatoa. Just imagine Madiba kusahau viatu na yeye kumpelekea, INAHUSU!!

Kikubwa ameonge mambo sahihi lakini si mahala pake.

Mwenye akili timamu ataona kuwa kuna madhala makubwa juu ya speech hii

Ametudhalilisha sana

Rais kama Rais yeye ayumbishwi na mitazamo ya watu bali ni kuongelea kile anachoamini na chenye uthibitisho yakinifu.

Kupondea hotuba ya Mh. Rais eti kwa sababu ameonesha kuwa bila ya Tanzania mchango wa Hayati Mzee Nelson Mandela kwa Taifa lake usingeonekana,hii ni sawa.

Nadhani umesahau kuwa harakati za ukombozi kusini mwa Afrika na bara zima la Afrika base kubwa ilikuwa Tanzania,Hivyo ni vema na sawa kabisa kwa Mh. Rais wetu kuikumbusha dunia kuwa Tanzania mpaka kesho ni nguzo imara ya demokrasia na ukombozi katika Afrika.

Walichokifanya hao unaowasifia eti wanamsema vema Hayati Mzee Nelson Mandela ni kama vile kujiosha tu ili kuepuka aibu na fedheha mbele ya mataifa,hakuna lolote la maana walilolifanya juu yake pindi alipokuwa kifungoni zaidi ya kumuita ghaidi na mtukutu namba moja kusini mwa jangwa la sahara.

Ni vema tukawa wakweli katika hili kuliko kupotosha watu juu ya historia hii ya ukombozi iliyotoka na shujaa,mpiganaji na mwanamapinduzi wa kweli ambaye historia yake itaenda sambamba na wanamapinduzi wengine makini ambao kamwe hawakuogopa mashinikizo na vitisho vya mabeberu ambao miongoni mwao ni Baba wa Taifa hayati Mzee Julius Kambarage Nyerere.

Naunga mkono 100% hotuba fupi na nzuri ya Mh.Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa leo nchini Afrika Kusini na kusisitiza kuwa mchango wa Tanzania katika jumuiya ya kimataifa ni mkubwa sana ndio maana leo tumeweza kutapa nafasi hiyo hadhimu kwa kiongozi wetu kuhutubia dunia kupitia mazishi hayo ya Hayati mpendwa wetu Mzee Nelson Mandela.

Binafsi leo nimeweza kupata jibu la kile nilichokuwa nafikiri kuwa ni jibu la swali la "Kwanini Tanzania ni nchi Maskini" ""Tanzania ni nchi maskini kwa sababu uchumi wake kipindi cha nyuma ulitumika kwa ajili ya ukombozi wa nchi nyingine kusini mwa Afrika na Afrika kwa ujumla,kwa kufanya hivyo mataifa ya kibeberu yaliibania nchi yetu katika michakato mingine ya kuendelea kuukuza uchumi wake.""

Sina chochote cha kuongeza zaidi ya kusisitiza kuwa uzalendo ni ktu kikubwa sana hasa pale Rais wa nchi yako anapotimiza wajibu wake kwa ajili yako mbele ya macho takribani nusu billioni dunia kuelezea kile anachoamini au kile sote tunachoamini ni kweli.Hakika ni jambo jema la kujivunia katika historia ya dunia.
 
Nina bashiri wewe ni mmoja wa wanao muandikia dr Slaa hutuba, Na ile hutuba ya kuruhusu mitambo ya gongo uli shiriki !
 
Ni lini na au wapi uliunga mkono chochote kile cha Rais Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete?
 
Hotuba ya JK ni nzuri sana imesaidia kuiibua tz ktk sura ya dunia kwa sababu ripoti nyingi zilizokuwa zinatolewa (aidha kwa makusudi au la) hazikuitaja kabisa tz achilia mbali kuelezea ina mchango gani ktk ukomboz wa wenzetu hawa. Na km mleta hoja ni mfatiliaji mzuri wa hoja zinazoletwa hapa hili tulikwisha lilalamikia km ni upungufu ktk msiba huu.Kwa hiyo (kwa mtazamo wangu) ile ilikuwa ndio fursa ya mwisho kwa dunia kufahamu mchango wa tz. Au mtoa hoja ww ulitakaje? waliopaswa kutusemea wameshindwa kutusemea,je nasisi tukae kimya!!?
 
JK ametoa hotuba nzuri, ameitumia fursa aliyoipata vizuri kwa niaba yetu waTZ kuwakumbusha wale wasiokumbuka na hasa raia wa SA kuwa walivyo sasa ni matokeo ya viongozi na raia wa nchi nyingine kama TZ kujitoa muhanga kumsaidia Mandela na chama chake katika kuikomboa nchi yao. Anawakumbusha nafasi ya Tz katika siasa na uchumi wa SA, na kwamba waache kiburi na ubaguzi dhidi ya raia toka TZ (xenophobia) na kwingineko, wakumbuke fadhila zetu na pengine tulidhoofika kiuchumi kwa ajili yao.
 
Hotuba ilikuwa nzuri na yakawaida, ameitendea haki mamlaka ya rais,

Tatizo lipo kwa kizazi hiki cha nyoka, watu hawapendi kusoma wala kujifunza, mambo yote aliyoyaongea jk yapo katika maandiko mengi sana, ninashangazwa sana kuona baadhi ya watu wanamuona jk kama mvumbuzi wao wa histori iliyofichwa,

Huu sio uungwana kabisa ndugu zangu, hebu tujipe muda wa kusoma machapisho na maandiko ya kila aina, tutayaona makuu na ya ajabu kuliko hii

Si kila mtu ni mwanahistoria au mpenda kusoma vitabu.
 
nahisi hii hotuba ulisikiliza wakati unatoa utamu kwa bwana shemeji so ukashindwa kuconcentrate.
 
Rais kama Rais yeye ayumbishwi na mitazamo ya watu bali ni kuongelea kile anachoamini na chenye uthibitisho yakinifu.

Kupondea hotuba ya Mh. Rais eti kwa sababu ameonesha kuwa bila ya Tanzania mchango wa Hayati Mzee Nelson Mandela kwa Taifa lake usingeonekana,hii ni sawa.

Nadhani umesahau kuwa harakati za ukombozi kusini mwa Afrika na bara zima la Afrika base kubwa ilikuwa Tanzania,Hivyo ni vema na sawa kabisa kwa Mh. Rais wetu kuikumbusha dunia kuwa Tanzania mpaka kesho ni nguzo imara ya demokrasia na ukombozi katika Afrika.

Walichokifanya hao unaowasifia eti wanamsema vema Hayati Mzee Nelson Mandela ni kama vile kujiosha tu ili kuepuka aibu na fedheha mbele ya mataifa,hakuna lolote la maana walilolifanya juu yake pindi alipokuwa kifungoni zaidi ya kumuita ghaidi na mtukutu namba moja kusini mwa jangwa la sahara.

Ni vema tukawa wakweli katika hili kuliko kupotosha watu juu ya historia hii ya ukombozi iliyotoka na shujaa,mpiganaji na mwanamapinduzi wa kweli ambaye historia yake itaenda sambamba na wanamapinduzi wengine makini ambao kamwe hawakuogopa mashinikizo na vitisho vya mabeberu ambao miongoni mwao ni Baba wa Taifa hayati Mzee Julius Kambarage Nyerere.

Naunga mkono 100% hotuba fupi na nzuri ya Mh.Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa leo nchini Afrika Kusini na kusisitiza kuwa mchango wa Tanzania katika jumuiya ya kimataifa ni mkubwa sana ndio maana leo tumeweza kutapa nafasi hiyo hadhimu kwa kiongozi wetu kuhutubia dunia kupitia mazishi hayo ya Hayati mpendwa wetu Mzee Nelson Mandela.

Binafsi leo nimeweza kupata jibu la kile nilichokuwa nafikiri kuwa ni jibu la swali la "Kwanini Tanzania ni nchi Maskini" ""Tanzania ni nchi maskini kwa sababu uchumi wake kipindi cha nyuma ulitumika kwa ajili ya ukombozi wa nchi nyingine kusini mwa Afrika na Afrika kwa ujumla,kwa kufanya hivyo mataifa ya kibeberu yaliibania nchi yetu katika michakato mingine ya kuendelea kuukuza uchumi wake.""

Sina chochote cha kuongeza zaidi ya kusisitiza kuwa uzalendo ni ktu kikubwa sana hasa pale Rais wa nchi yako anapotimiza wajibu wake kwa ajili yako mbele ya macho takribani nusu billioni dunia kuelezea kile anachoamini au kile sote tunachoamini ni kweli.Hakika ni jambo jema la kujivunia katika historia ya dunia.

sio lazima ukaandika,kuna mambo kama huyajui acha,,,hadi sasa hujui kwanini Tanzania maskini kama rais wako,,,,
50+ years of independence hujui Y Tanzania maskini,then unadanganya jukwaa,nimeguswa sana na hapo kwenye blue,,,,hebu soma MKUKUTA I NA II,,,,
umaskin wa Tanzania unaweza ukaujua kupitia Voices of the Poor tafuta gugo
 
kuanzia 2010
nnliacha kumuunga hadi sasa,
kwa sbb alibaka demokrasia kwa kuiba kura, kama yule PM tarajali

Ndivyo ulivyodanganywa ukakubali.

Huyo wa kumuibia kura ni nani? Mzee wa gongo?

Ustake kuchekesha watu.
 
Rais kama Rais yeye ayumbishwi na mitazamo ya watu bali ni kuongelea kile anachoamini na chenye uthibitisho yakinifu.

Kupondea hotuba ya Mh. Rais eti kwa sababu ameonesha kuwa bila ya Tanzania mchango wa Hayati Mzee Nelson Mandela kwa Taifa lake usingeonekana,hii si sawa kabisa.

Nadhani umesahau kuwa harakati za ukombozi kusini mwa Afrika na bara zima la Afrika base kubwa ilikuwa Tanzania,Hivyo ni vema na sawa kabisa kwa Mh. Rais wetu kuikumbusha dunia kuwa Tanzania mpaka kesho ni nguzo imara ya demokrasia na ukombozi katika Afrika.

Walichokifanya hao unaowasifia eti wanamsema vema Hayati Mzee Nelson Mandela ni kama vile kujiosha tu ili kuepuka aibu na fedheha mbele ya mataifa,hakuna lolote la maana walilolifanya juu yake pindi alipokuwa kifungoni zaidi ya kumuita ghaidi na mtukutu namba moja kusini mwa jangwa la sahara.

Ni vema tukawa wakweli katika hili kuliko kupotosha watu juu ya historia hii ya ukombozi iliyotoka na shujaa,mpiganaji na mwanamapinduzi wa kweli ambaye historia yake itaenda sambamba na wanamapinduzi wengine makini ambao kamwe hawakuogopa mashinikizo na vitisho vya mabeberu ambao miongoni mwao ni Baba wa Taifa hayati Mzee Julius Kambarage Nyerere.

Naunga mkono 100% hotuba fupi na nzuri ya Mh.Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa leo nchini Afrika Kusini na kusisitiza kuwa mchango wa Tanzania katika jumuiya ya kimataifa ni mkubwa sana ndio maana leo tumeweza kutapa nafasi hiyo hadhimu kwa kiongozi wetu kuhutubia dunia kupitia mazishi hayo ya Hayati mpendwa wetu Mzee Nelson Mandela.

Binafsi leo nimeweza kupata jibu la kile nilichokuwa nafikiri kuwa ni jibu la swali la "Kwanini Tanzania ni nchi Maskini" ""Tanzania ni nchi maskini kwa sababu uchumi wake kipindi cha nyuma ulitumika kwa ajili ya ukombozi wa nchi nyingine kusini mwa Afrika na Afrika kwa ujumla,kwa kufanya hivyo mataifa ya kibeberu yaliibania nchi yetu katika michakato mingine ya kuendelea kuukuza uchumi wake.""

Sina chochote cha kuongeza zaidi ya kusisitiza kuwa uzalendo ni ktu kikubwa sana hasa pale Rais wa nchi yako anapotimiza wajibu wake kwa ajili yako mbele ya macho takribani nusu billioni dunia kuelezea kile anachoamini au kile sote tunachoamini ni kweli.Hakika ni jambo jema la kujivunia katika historia ya dunia.

C:\Program Files\Microsoft Office\Office12\EXCEL.EXE
C:\Program Files\Microsoft Office\Office12\EXCEL.EXE
 
Rais kama Rais yeye ayumbishwi na mitazamo ya watu bali ni kuongelea kile anachoamini na chenye uthibitisho yakinifu.

Kupondea hotuba ya Mh. Rais eti kwa sababu ameonesha kuwa bila ya Tanzania mchango wa Hayati Mzee Nelson Mandela kwa Taifa lake usingeonekana,hii ni sawa kabisa.

Nadhani umesahau kuwa harakati za ukombozi kusini mwa Afrika na bara zima la Afrika base kubwa ilikuwa Tanzania,Hivyo ni vema na sawa kabisa kwa Mh. Rais wetu kuikumbusha dunia kuwa Tanzania mpaka kesho ni nguzo imara ya demokrasia na ukombozi katika Afrika.

Walichokifanya hao unaowasifia eti wanamsema vema Hayati Mzee Nelson Mandela ni kama vile kujiosha tu ili kuepuka aibu na fedheha mbele ya mataifa,hakuna lolote la maana walilolifanya juu yake pindi alipokuwa kifungoni zaidi ya kumuita ghaidi na mtukutu namba moja kusini mwa jangwa la sahara.

Ni vema tukawa wakweli katika hili kuliko kupotosha watu juu ya historia hii ya ukombozi iliyotoka na shujaa,mpiganaji na mwanamapinduzi wa kweli ambaye historia yake itaenda sambamba na wanamapinduzi wengine makini ambao kamwe hawakuogopa mashinikizo na vitisho vya mabeberu ambao miongoni mwao ni Baba wa Taifa hayati Mzee Julius Kambarage Nyerere.

Naunga mkono 100% hotuba fupi na nzuri ya Mh.Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa leo nchini Afrika Kusini na kusisitiza kuwa mchango wa Tanzania katika jumuiya ya kimataifa ni mkubwa sana ndio maana leo tumeweza kutapa nafasi hiyo hadhimu kwa kiongozi wetu kuhutubia dunia kupitia mazishi hayo ya Hayati mpendwa wetu Mzee Nelson Mandela.

Binafsi leo nimeweza kupata jibu la kile nilichokuwa nafikiri kuwa ni jibu la swali la "Kwanini Tanzania ni nchi Maskini" ""Tanzania ni nchi maskini kwa sababu uchumi wake kipindi cha nyuma ulitumika kwa ajili ya ukombozi wa nchi nyingine kusini mwa Afrika na Afrika kwa ujumla,kwa kufanya hivyo mataifa ya kibeberu yaliibania nchi yetu katika michakato mingine ya kuendelea kuukuza uchumi wake.""

Sina chochote cha kuongeza zaidi ya kusisitiza kuwa uzalendo ni ktu kikubwa sana hasa pale Rais wa nchi yako anapotimiza wajibu wake kwa ajili yako mbele ya macho takribani nusu billioni dunia kuelezea kile anachoamini au kile sote tunachoamini ni kweli.Hakika ni jambo jema la kujivunia katika historia ya dunia.

Kupondea hotuba ya Mh. Rais eti kwa sababu ameonesha kuwa bila ya Tanzania mchango wa Hayati Mzee Nelson Mandela kwa Taifa lake usingeonekana,hii ni sawa kabisa.
 
Rais Kikwete alialikwa kutoa hotuba hii katika mazishi ya Mzee Mandela kwa niaba ya the former Front Line States [FLS] zilizo ongoza mapambano ya kukomboa nchi za kusini mwa Afrika kuanzia Mozambique miaka ya 1960s. The FLS zilikuwa ziki-ongozwa na Mwalimu Nyerere mpaka mwaka 1985 alipostaafu na uenyekiti ukaenda kwa Kaunda wa Zambia mpaka 1991 aliposhindwa kwenye kura ya Urais wa Zambia na Chiluba. Rais Mugabe wa Zimbabwe ali take over mpaka 1994 when South Africa ilipopata uhuru na kazi ya FLS ikawa imemalizika. FLS ilibadilishwa na kuwa the Security Organ ya SADC.

Viongozi wote was Kusini mwa Afrika wanamtambua Julius Nyerere kuwa ndiye aliyekuwa chief strategist wa vita vya ukombozi wa nchi zao kuanzia Mozambique iliyopata uhuru 1975; Angola 1975 and Zimbabwe 1980. Baada ya Zimbabwe makaburu walikuwa mbogo na kuzi-sabotage nchi za FLS wakiwatumia kina Savimbi & UNITA in Angola and Renamo in Mozambique.

Hii ilifanya vita vya ukombozi wa Namibia na Afrika ya Kusini kuwa ngumu. Hata hivyo Makaburu walipata pigo kubwa sana katika the battle of Cuito Canavale huko Angola mwaka 1987/88 wakati vikosi vyao vya askari zaidi ya 30000 [elfu thelathini] vilipopigwa vibaya sana na combination ya vikosi vya Angola; SWAPO na ANC wakisaidiwa na askari wa ki Cuba na Ugermani ya Mashariki. Vikosi vya SWAPO na ANC vilikuwa trained Mgagao, Tanzania na inasemekana pia kuwa vilikuwa vikipata technical support ya JWTZ. Inasemekana brigedi mbili au tatu za makaburu ziliteketezwa kabisa hapo Cuito Canavalle na ndipo hapo makaburu wakasalimu amri na wakaanza kukubali kutoa Uhuru kwa Namibia ambayo ilifanyika mwaka 1991.

Kushindwa kwa Makaburu katika vita vya Cuito Canavalle vilisababisha kuanguka kwa serikali ya P. W. Botha huko South Africa na badala yake akaingia de Klerk ambaye ndiye aliye mwachilia kutoka Gerezani Nelson Mandela mwaka 1991. Kutoka hapo historia ya South Africa ikabadilika na wakapata uhuru/serikali ya demokrasia mwaka 1994 chini ya Mzee Mandela.

Katika hotuba yake ya leo Kikwete did an excellent job in explaining the role of Nyerere and Tanzania in the liberation of Southern Africa. Watu wengi huko Southern Africa na hata wengine hapa Tanzania hawajui hii role ya Nyerere and Tanzania vizuri. This was therefore a God given opportunity for Tanzania through Rais Kikwete to inform the World of this contribution. Indeed Mzee Kaunda alipoitwa naye kuzungumza alimtaja Mwalimu Nyerere several times pamoja na Mama Maria Nyerere na kumshukuru Kikwete kwa hotuba yake.

Utaona pia baada ya hotuba yake ya leo Rais Banda wa Malawi kama Mwenyekiti wa SADC - the master of ceremony ali comment kuwa hii ilikuwa mara ya kwanza kwa Malawi kujisafisha kwa Wa South Africans maana nchi yao ilijulikana kama kikaragosi and kibaraka mkuu was Makaburu hata mpaka mwaka 1994 wakati Rais Kibaraka Hastings Banda alipo-ondolewa madarakani - indeed umati katika Mazishi yale ulicheka kwa dharau.

In short Rais Kikwete did an EXCELLENT JOB TODAY IN TELLING THE SOUTH AFRICANS AND THE WORLD of THE ROLE OF JULIUS NYERERE AND TANZANIA IN THE LIBERATION OF THE SOUTHERN AFRICA STATES. THIS WAS A GOLDEN OPPORTUNITY AND ONLY A NAIVE PERSON WOULD NOT HAVE TAKEN IT UP. LET US GIVE DUE CREDIT TO OUR PRESIDENT WHEN HE REPRESENTS THE COUNTRY WELL. THERE WERE NO OTHER PRESIDENTS/external leaders FROM AFRICA or elsewhere who were ALLOWED TO SPEAK AT THIS FUNERAL CEREMONY TODAY OTHER THAN THE CHAIRPERSON OF AFRICAN UNION - PM of Ethiopia and the SADC Chair President Banda of Malawi and of course President Zuma himself. So Let us give our President the due credit he deserves.
 
nimefurahishwa na hotuba aliyotoa JK, imetupa heshima kubwa sisi watanzania na somo zuri wa raia wa pande zote, kupitia hotuba ile raia wengi wa South africa watatuchukulia tanzania kama ndugu zao, mahusiano yetu na wao niya kindugu big JK. mm binafsi ni CDM ila kwa leo rais wetu katufurahisha kwa hotuba tamu kupita kiasi. watanzania sijui tumelogwa na nani? hatujikubali wenyewe wakati watu wa nje wanatukabali sana. tuache kujizadharau. big Tz
 
Back
Top Bottom