Nikiwa kama mtanzania niishie SA nakubaliana na speech ya JK
Ujue wasouth wengi walikua hawajui mchango wa TZ kwao.
Nikiwa kama Mtanzania mzelendo nimefurahishwa sana na JK kwa kumtaja baba wa taifa NYERERE
Mzee kifimbo alikua mchango mkubwa sana kwa MANDELA
Dunia ijue hvyo
Ujue wasouth wengi walikua hawajui mchango wa TZ kwao.
Nikiwa kama Mtanzania mzelendo nimefurahishwa sana na JK kwa kumtaja baba wa taifa NYERERE
Mzee kifimbo alikua mchango mkubwa sana kwa MANDELA
Dunia ijue hvyo