Sitaki tena ndoa na Mamndenyi...!!!

Mwita Maranya

JF-Expert Member
Jul 1, 2008
10,565
7,984
Pamoja na kuwa sheria za dini yangu ya kikurya zinaniruhusu kuoa wananwake wengi kadri niwezavyo, lakini kwa Mamndenyi ninatangaza rasmi kuwa nimevunja uchumba wetu tuliokuwa tumeuanzisha hivi karibuni na ndoa ilishasajiliwa kwa mwenyekigoda Baba V

Nimelazimika kuchukua uamuzi huu wa kikatili dhidi ya moyo wangu kwa ajili ya kulinda undugu baina yangu na swahiba wangu Mr Rocky, ndugu yangu wa damu kabisa Slave pamoja na mzee mkuda bin mnoko Bujibuji.

Mwisho kabisa napenda kumhakikishia mama watoto wangu laazizi mwaJ kuwa awe na amani ya bwana huko aliko, atambue kuwa ndoa yetu itaendelea kudumu milele baina yangu mimi na yeye, yeye na mimi, sisi wawili peke yetu.
 
Last edited by a moderator:
Ayaa! Kimenuka mapema hivyo-? Mamndenyi ana nuksi gani jamani?

AMA KWELI MKATAA PEMA PABAYA PANAMUITA.
 
Last edited by a moderator:
Umefanya uamuzi mzuri sana swahiba Mwita Maranya maana nilikuwa nakushangaa ujue
Maana nilisema mara hii ndugu yangu kashakuwa shemeji zima taa yaani anajua kabisa Mamndenyi alikuwa shemeji yake ila ghafla anamtaka duh ni balaa hilo
mhhh Arushaone kwa hiyo una maana kwako ndio pazuri king mswati
 
Last edited by a moderator:
Hili joto la hasira yelelaaaa, yelelaaa naruka mwenyewe ambaaa.... Foleni kwa Madame B .... Yelelaaaa yelelaaaa. Kweli mapenzi sio fani ya wakurya, nyie lenu jeshi mura, Karibu Kwa Jimu hapa Lumo ujipoze japo na kinana moja


Pamoja na kuwa sheria za dini yangu ya kikurya zinaniruhusu kuoa wananwake wengi kadri niwezavyo, lakini kwa Mamndenyi ninatangaza rasmi kuwa nimevunja uchumba wetu tuliokuwa tumeuanzisha hivi karibuni na ndoa ilishasajiliwa kwa mwenyekigoda Baba V

Nimelazimika kuchukua uamuzi huu wa kikatili dhidi ya moyo wangu kwa ajili ya kulinda undugu baina yangu na swahiba wangu Mr Rocky, ndugu yangu wa damu kabisa Slave pamoja na mzee mkuda bin mnoko Bujibuji.

Mwisho kabisa napenda kumhakik
 
Last edited by a moderator:
okolile bhuuya msani Mwita Maranya umenusuru majanga tunge gechana bure kisa ........? Mamndenyi

kwahiyo niendelee na mpango wangu mweto?
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kuwa sheria za dini yangu ya kikurya zinaniruhusu kuoa wananwake wengi kadri niwezavyo, lakini kwa Mamndenyi ninatangaza rasmi kuwa nimevunja uchumba wetu tuliokuwa tumeuanzisha hivi karibuni na ndoa ilishasajiliwa kwa mwenyekigoda Baba V

Nimelazimika kuchukua uamuzi huu wa kikatili dhidi ya moyo wangu kwa ajili ya kulinda undugu baina yangu na swahiba wangu Mr Rocky, ndugu yangu wa damu kabisa Slave pamoja na mzee mkuda bin mnoko Bujibuji.

Mwisho kabisa napenda kumhakikishia mama watoto wangu laazizi mwaJ kuwa awe na amani ya bwana huko aliko, atambue kuwa ndoa yetu itaendelea kudumu milele baina yangu mimi na yeye, yeye na mimi, sisi wawili peke yetu.

Eh Binamu Mwita Maranya kumbe ulikuwa waoa bila kuntaarifu? Makubwa!! Mamndenyi hebu nikuone wifi binamu tutengeneze sharia.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha!
Mamndenyi wahi mie pia ni mkiwa kama wewe,milango ipo wazi kwa ajiri yako please.
Yani nipo single kabisaaaaaaa!pls come baby!
 
Last edited by a moderator:
Duuuu.No comment.
Pamoja na kuwa sheria
za dini yangu ya kikurya zinaniruhusu kuoa wananwake wengi kadri
niwezavyo, lakini kwa Mamndenyi ninatangaza
rasmi kuwa nimevunja uchumba wetu tuliokuwa tumeuanzisha hivi karibuni
na ndoa ilishasajiliwa kwa mwenyekigoda Baba V

Nimelazimika kuchukua uamuzi huu wa kikatili dhidi ya moyo wangu kwa
ajili ya kulinda undugu baina yangu na swahiba wangu Mr
Rocky
, ndugu yangu wa damu kabisa
Slave pamoja na mzee mkuda bin mnoko
Bujibuji.

Mwisho kabisa napenda kumhakikishia mama watoto wangu laazizi
mwaJ kuwa awe na amani ya bwana huko aliko,
atambue kuwa ndoa yetu itaendelea kudumu milele baina yangu mimi na
yeye, yeye na mimi, sisi wawili peke yetu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom