Sitaki kuolewa

Sitaki kuolewa

mhhh bidada ghorofa litakuhug usiku na kukupa ujauzito??

ujauzito nitaupata hata clinic tena kwa kuchagua mbegu ninayoitaka , kuhugiwa hakuna maana sana kama raha 20% tena kwa muda mfupi 80% inayobaki ni karaha tupu, raha najipa mwenyewe kwa sababu ipo ndani yangu, ukisubiri raha toka kwa mwingine utaumiza kichwa sana.
 
ujauzito nitaupata hata clinic tena kwa kuchagua mbegu ninayoitaka , kuhugiwa hakuna maana sana kama raha 20% tena kwa muda mfupi 80% inayobaki ni karaha tupu, raha najipa mwenyewe kwa sababu ipo ndani yangu, ukisubiri raha toka kwa mwingine utaumiza kichwa sana.

Teh teh teh teh,,,despates bana naona unajipa hope! Sizitaki mbichi hizi


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
ujauzito nitaupata hata clinic tena kwa kuchagua mbegu ninayoitaka , kuhugiwa hakuna maana sana kama raha 20% tena kwa muda mfupi 80% inayobaki ni karaha tupu, raha najipa mwenyewe kwa sababu ipo ndani yangu, ukisubiri raha toka kwa mwingine utaumiza kichwa sana.

loser'sizitaki mbichi hizi.
 
Huu uzi umenichekesha sana duuh! Alafu waongo wakifukunyuliwa wanajuaga kupanic kumbe mnajuana nje ya jukwaa tens. Ndo kimbembe kilipoanza dah! Musijuwane jamani iiiish(in sukuma tone)
 
hiv jana niliwuliwa?
nilijiwuwa?
waliniwuwa?
au dubwana gani lilinikuta?
tafazali mtu yeyote mwenye mapenzi mema anihelp!
cc lara1, amu Dinazarde Khantwe @ et al
puleeez dada mkubwa anahitaji drip moja tu ya glucose.

Odo nisaidie adhabu ya Name calling humu.
Cc imuendee shem Matola maana kila nkiitafuta siioni.
 
Last edited by a moderator:
Odo nisaidie adhabu ya Name calling humu.
Cc imuendee shem Matola maana kila nkiitafuta siioni.
adhabu uliyomzawadia kwani ni ndogo odo?
msamehe bili kwangu!
wawache wahangaike nalo!
hujaloose chochote odo wangu!
uzuri wako najua u never pick wrong fights!
so ushamaliza hilo tupa kure ujilie visra tu!
 
Last edited by a moderator:
Odo nisaidie adhabu ya Name calling humu.
Cc imuendee shem Matola maana kila nkiitafuta siioni.

name calling adhabu yake ni ban mpaka ya miezi mitatu, hiyo post mods waliifuta lakini siyo issue.

si kila name calling inakuwa mtu ame-expose jina lako bali mtu mwingine huwa anaweweseka tu, hata le mutuz mk8kabana koo naye lazima akutaje jina ambalo si lako kwamba upo marekani na unalishwa na mwanamke au atakupa undugu na ngwilulupi family.

close casket, wacha misha yaendelee.
 
Last edited by a moderator:
dah umeniongezea furaha mkuu,mauno ya kwenye sherehe ni hatari

Pengine wanaouliza hivyo wanazichukulia ndoa au kuolewa nia fasheni ya maisha tofauti na maana halisi. Wanawake wamekuwa wengi kuliko wanaume, sasa kwa wale wanaokosa wanaume iweje?
 
mimi naamini ndoa ni hitaji muhimu litokalo ndani ya mtu, so mara hitaji linapomzidi mtu kila mtu hua na sababu yake maalum, so mda ukifika kila mtu huolewa,
 
Wasalaam wana MMU,

Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana ...

Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?

Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa?

Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi",

kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi???

Msimamo wangu:

1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi

2. Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda

3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa

4. Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa

5. Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion (ndoa sio fashion)

6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nope

Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.

XoXo

Usianze tena baadae kuhangaika kutafuta wachumba
Sent from my Nook barnel & Tablet
 
usipate tabu, tafuta uzi wenye heading 'maskini Sofia wangu ...'

Ni aina ya uandishi, mie victim number one, natumia nafsi ya kwanza. Sioni shida kabisa.

me naona hakuna haja ya kuanza dada yangu, wifi yangu au jirani yangu anaomba ushauri, inatakiwa tujue sio wote watuzungukao wana aces ya kupost jf, na kinachomata ni kichwa cha habari husika kinachoombewa ushauri sio hilo jambo limemkuta nani.Kuna tabia humu ya kutoa ushauri with bias , sasa kama unaona upo katika position ya kushauri shauri kama muhusika angeona thread zinarelate atalink kama hajalink hazina uhusiano. lets coments kwenye thread sio mleta thread. Poleni mtakaoelewa tofauti
 
acha uongo kwa yote uliyyongea its ok but usiseme ur not concerned!!! u might not be panicking but for sure ur at least concern hasa issue ya umri kwenda, unless hujavuka 30, ila kama ushavuka 30 and ur not concern, u need prayer!!!
 
kwani una miaka mingapi? nataka nikueleze ukweli mimi kama mwanaume.

huna haja ya kuuliza umri, navoelewa watu wanaposema umri kuenda wanamaanisha suala la kuchelewa kuzaa. Lakini navojua mimi suala la kuzaa lipo tu haijalishi mtu kaolewa/kaoa au hajaolewa/hajaoa. Mtu akiamua kuzaa anazaa wakati wowote bila kujali hali ya ndoa. Maisha yenyewe ya siku hizi sio ya kung'ang'aniana.
 
Wasalaam wana MMU,

Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana . Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?

Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa? Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi", kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi?

Msimamo wangu:

1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi

2. Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda

3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa

4. Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa

5. Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion (ndoa sio fashion)

6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nope

Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.

XoXo[/QUOTE
To every action there is an equal and opposite reaction by Isaac Newton.............."Happiness in life means making others happy ".............olewa upate hiyo reward,lakini siku zote moyo unauma,just imagine >30 wanapiga tu na kusepa,we unafikiri hao wazazi wako hawaumii kama we unavyohisi unaumia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom