Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Ndo hivo ukipambana na vipoozeo vya modes ndo matokeo yake!
hahahahaaaaaaa
....!unankosha mie!wanapatikana wapi na mi nipate mmoko ili wasinisuspend au nkizinguliwa nishtaki fasta!
Ndo hivo ukipambana na vipoozeo vya modes ndo matokeo yake!
ukiandamana tuandamane wote.....
Hheeee hhheeeiyaaa kumbe sijapigwa ban...husninyo tumeponaaaa..ila amu kaniumaaaa
Ha ha humu ndani kwa drama ni balaa.
Mara ameolewa mara ana mchumba humu wamegombana mara ana watoto wawili mara anasoma indiq mara anauza nywele za maiti mara kansas aaaaa.
Ila nachoweza sema ni mijitu imeshakula mipilipili ya bure na mivitunguu maji huko asa inakuja humu kujikuna.
Wasalaam wana MMU,
Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana ...
Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?
Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa?
Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi",
kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi???
Msimamo wangu:
1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi
2. Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda
3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa
4. Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa
5. Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion (ndoa sio fashion)
6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nope
Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.
XoXo
Baby UKOME KUSHOBOKEA WATU! Unaona umevuliwa nguooooo? Mi nilikuwa na kucheki tu mchepuko wako! Haya sasa KIKO WAPIIIIIIII?
Umeshusha MISIFA KIBAOOO kumbe kanjanja! WALE WOTE MLIOSHOBOKA KUMSIFIA MMEINGIA MITINI! Hahahaaaaaa!
Uwe unanisifia tu mi mkeo!
Naona unatafuta matatizo hivi hukuuona ule uzi wa lambo....nini sijui hivi karibuni alivyokua akilalamika shauri yako.Nimekuzimia ghafla dada unaweza kuni PM?unaishi wapi LA?
Unipitie wii!
naona unaona taarifa mapema
Hheeee hhheeeiyaaa kumbe sijapigwa ban...husninyo tumeponaaaa..ila amu kaniumaaaa
Teh teh nami niliona kidogo nikustuee tu lo yamewashukajeee
Segerea si pazuri upasikie tu
Ha ha ha daaah nmecheka aiseee
Segerea si pazuri upasikie tu
Hii mobile application si nzuri kika mkiniquote na kunitaja inakuwa notification,.
Nkiingia nakutana na you have been banned from this forum.