Sitaki kuolewa

Sitaki kuolewa

Umenikunaaa!! heri wewe umeulizwa na shangazi mie kuna mtu kanifata kabisaa eti ananishauri umri unaenda mbona siolewi nilimtoa baruu kama paka mwizi .
..japo rohoni ulikuwa unaumia, just be frank Tuya..!!
 
Last edited by a moderator:
Mbona mnang'ang'ania sana suala la roho kuuma kulikoni? Sorry nimedandia gari kwa mbele

wala hujadandia Khantwe, ni mjadala tu na kila mtu yupo huru kuchangia..!!

Unajua ukweli unauma eeh, ukiwa na miaka 30, huna mtu wa kueleweka katika mahusiano, hakika mtu akileta swali hilo roho itauma...LAZIMA ROHO IUME..!!
 
Last edited by a moderator:
wala hujadandia Khantwe, ni mjadala tu na kila mtu yupo huru kuchangia..!!

Unajua ukweli unauma eeh, ukiwa na miaka 30, huna mtu wa kueleweka katika mahusiano, hakika mtu akileta swali hilo roho itauma...LAZIMA ROHO IUME..!!

Hahahah kama unanifanya mi mdoli kwenye mapenzi yetu kwa kuntishia et nikifika 30 single roho itaniuma u r finished teh...
 
Last edited by a moderator:
Wasalaam wana MMU,

Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana . Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?

Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa? Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi", kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi?

Msimamo wangu:

1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi

2. Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda

3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa

4. Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa

5. Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion (ndoa sio fashion)

6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nope

Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.

XoXo

that's good for you!!! jikubali tu kubakia kuwa NUNGAYEMBE. Ila usipende kumendea waume wa wenzio!!!!
 
Ni kwelii kabisaa watu wanalilia ndoa wanashinda kwa wagangaa,ukweli hayupo ambae hapendi kuolewaaa yaa hayupo huaga wanajifariji tuuuu

umeonaaah....eeeeh!!!kutwa vilingenj kutafta ndoa afu analeta za kuleta apa!
 
umeonaaah....eeeeh!!!kutwa vilingenj kutafta ndoa afu analeta za kuleta apa!
Hahhaaaaa! Acha kupotezwa na Dina, watu wanalilia ndoa za MAANA we kapange rum na FREE P uone kama hujarudi baruuuuuuuuu siku 2 nakupa! Si ndoa zote za kushonokea!

Cc Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
Hahhaaaaa! Acha kupotezwa na Dina, watu wanalilia ndoa za MAANA we kapange rum na FREE P uone kama hujarudi baruuuuuuuuu siku 2 nakupa! Si ndoa zote za kushonokea!

Cc Dinazarde

Eeeeee acha hizooooooo banaaa unawadanganyaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahhaaaaa! Acha kupotezwa na Dina, watu wanalilia ndoa za MAANA we kapange rum na FREE P uone kama hujarudi baruuuuuuuuu siku 2 nakupa! Si ndoa zote za kushonokea!

Cc Dinazarde

hamna mwingine anataka ile ya kwenda kuangalia mkato wa chumba au kutoa gundu,watu wanahaah lara usiskie$mi free p alizingua ndo maana#
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom