Mbona mnang'ang'ania sana suala la roho kuuma kulikoni? Sorry nimedandia gari kwa mbele
wala hujadandia Khantwe, ni mjadala tu na kila mtu yupo huru kuchangia..!!
Unajua ukweli unauma eeh, ukiwa na miaka 30, huna mtu wa kueleweka katika mahusiano, hakika mtu akileta swali hilo roho itauma...LAZIMA ROHO IUME..!!
Wasalaam wana MMU,
Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana . Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?
Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa? Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi", kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi?
Msimamo wangu:
1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi
2. Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda
3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa
4. Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa
5. Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion (ndoa sio fashion)
6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nope
Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.
XoXo
Ni kwelii kabisaa watu wanalilia ndoa wanashinda kwa wagangaa,ukweli hayupo ambae hapendi kuolewaaa yaa hayupo huaga wanajifariji tuuuu
umeonaaah....eeeeh!!!kutwa vilingenj kutafta ndoa afu analeta za kuleta apa!
..japo rohoni ulikuwa unaumia, just be frank Tuya..!!
Hahhaaaaa! Acha kupotezwa na Dina, watu wanalilia ndoa za MAANA we kapange rum na FREE P uone kama hujarudi baruuuuuuuuu siku 2 nakupa! Si ndoa zote za kushonokea!umeonaaah....eeeeh!!!kutwa vilingenj kutafta ndoa afu analeta za kuleta apa!
Hahhaaaaa! Acha kupotezwa na Dina, watu wanalilia ndoa za MAANA we kapange rum na FREE P uone kama hujarudi baruuuuuuuuu siku 2 nakupa! Si ndoa zote za kushonokea!
Cc Dinazarde
Mbona wewe HUKUOLEWA NA FREE P.? Hahahhaaha!Eeeeee acha hizooooooo banaaa unawadanganyaaa
Mbona wewe HUKUOLEWA NA FREE P.? Hahahhaaha!
Hakikisha unatafuta money TILL DEATH,kuja kutubakia wanetu HATUPENDIlara 1 said:Mbona HUKUOLEWA NA FREE P?
by the way kuoa au kuolewa siyo lazima. mitanzania badala ya kusaidiana economic status yenyewe yanaulizia yaje kukata mauno kwenye sherehe tu.
Hahhaaaaa! Acha kupotezwa na Dina, watu wanalilia ndoa za MAANA we kapange rum na FREE P uone kama hujarudi baruuuuuuuuu siku 2 nakupa! Si ndoa zote za kushonokea!
Cc Dinazarde
Wanaume walivyo wa shida eeeeee