Drama queen
Senior Member
- Apr 22, 2014
- 157
- 289
Maskini husninyo na hiv ulimpa ushauri kwny single dad/mom cjui kakukeraje? Ukute uliandika ushauru kwa upendooo kumbe una shauri ....hheeee eeehhh
Amu na bidada inatosha sasa. Laleni... Haina faida kujibishana. Ulishaweka wazi basi wakujifunza atajifunza
Kweli kabisa....
Hadi thread imekosa maanda...nadhanit tuombe wakuu waichomoe!
My sis mbona hujaniita....
eeehh, bora Lambo kaja, ni amri tu.
How do u feel when two people are fighting we unashabikia instead ya kuwa pleased??
Kweli kabisa....
Hadi thread imekosa maanda...nadhanit tuombe wakuu waichomoe!
Naunga mkono hoja, waichomoe.
Sred ilikuwa na mantiki hadi imekuwa khah!
Vinginevyo wadelete post tata zote.
Maskini husninyo na hiv ulimpa ushauri kwny single dad/mom cjui kakukeraje? Ukute uliandika ushauru kwa upendooo kumbe una shauri ....hheeee eeehhh
Kweli kabisa....
Hadi thread imekosa maanda...nadhanit tuombe wakuu waichomoe!
Kweli kabisa....
Hadi thread imekosa maana...nadhani tuombe wakuu waichomoe!
Its WHETHER teacher!!!
Baada ya kufuatilia li thread karibia lote....
Nashauri walipige chini...
That's what am talking about....sitaki kuolewa kwa sababu nilizotaja hapo juu
Nitaolewa muda ukifika
Naunga mkono hoja, waichomoe.
Sred ilikuwa na mantiki hadi imekuwa khah!
Vinginevyo wadelete post tata zote.
Mkuu uko viti virefu nin? Naona herufi zimeingiliana he he. Back 2 the topic: wanawake sie tukijuana ni shida. Me maisha yote rafiki zangu ni wakaka. Mkizinguana inabaki kimya kimya. Sasa mambo gani haya hadi kutajana majina? Wakalale wajipange upya. Sasa imewaongezea nini kwa mfano?
Unataka iwe reference ya kufanyia kitu gani?
Muda wenyewe huoni ulivyoenda Mrembo by Nature?
Ila sijapenda haya mambo ya kuharibu jukwaa letu la MMU...
Naamini uzi wote utapigwa chini soon!1