Sitaki kuolewa

Sitaki kuolewa

Usiolewe kwa sababu yoyote kati ya hizo ulizoziweka hapo juu. Olewa kwa sababu umempata mtu ambaye mmependana naye yeye anapenda kuwa nawe kama mkewe na wewe unapenda kuwa naye kama mumeo.

na hiyo ndo sababu inayojitosheleza. shkamoo BAK.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Usiolewe kwa sababu yoyote kati ya hizo ulizoziweka hapo juu. Olewa kwa sababu umempata mtu ambaye mmependana naye yeye anapenda kuwa nawe kama mkewe na wewe unapenda kuwa naye kama mumeo.

That's what am talking about....sitaki kuolewa kwa sababu nilizotaja hapo juu
Nitaolewa muda ukifika
 
’m in love with you, and I’m not in the business of denying myself the simple pleasure of saying true things. I’m in love with you, and I know that love is just a shout into the void, and that oblivion is inevitable, and that we’re all doomed and that there will come a day when all our labor has been returned to dust, and I know the sun will swallow the only earth we’ll ever have.....Nakupenda sana my msweet

Awwwwwwww am so happy right now msweet♥♥♥♥ more than you do
 
Awwwwwwww am so happy right now msweet♥♥♥♥ more than you do

Meeting you was the best moment of my life. Asking you out was the best decision of my life ilikuwa like wow!!Kuwa na wewe is the best thing that has ever happened to me.
Tulia msweet wangu
 
Hakuna msichana hata mmoja asietaman kuolewa ila kitendawili huja unaolewa na nani ndo maana mtu anaamua kubuy time coz ndoa ni zaidi ya shule ukichemka umechemka kweli there is no turning back so olewa when u find the right man
 
Wasalaam wana MMU,

Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana ...

Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?
Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa?
Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi",
kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi???

Msimamo wangu:
1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi

2.Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda

3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa

4.Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa

5.Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion
( ndoa sio fashion)

6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nop

Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.

XoXo

Napenda watu wenye misimimo isiyoyumba na ambayo haiwaumizi wengine! Fanya kitu kwakuwa umeamua ni si kwasababu 1,2,3...!!!!!:thumbup::thumbup::thumbup:
 
wapo weng wameolewa na wakiwa na umri zaid ya 30.tena had 45 m2 unaolewa2
 
mungu hakukosea kukuleta hivyo amin jinsia yako ipo hata kama itachelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom