Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Usiolewe kwa sababu yoyote kati ya hizo ulizoziweka hapo juu. Olewa kwa sababu umempata mtu ambaye mmependana naye yeye anapenda kuwa nawe kama mkewe na wewe unapenda kuwa naye kama mumeo.
na hiyo ndo sababu inayojitosheleza. shkamoo BAK.
Last edited by a moderator: