Sitaki kuolewa

Sitaki kuolewa

Alikaimu wizara yako ya kufukunyua post za nyuma! Japo zimefutwa natamani uziweke tena maana ni za kuchekesha! Rest in Ban amu!

ila yule dada amu hana kosa jamank afu hata hakutaka ugomvi ghafla akatajwa kwa jina halisi mi hoi sikulala jana mpaka mtanange umeisha...
 
Last edited by a moderator:
nimejaribu kutafuta huo ugomvi toka page 1 mpaka mwisho hata siuoni,inaonekana wana mmu wamezoea maneno laini laini sana.
 
masikini Rapunzel!!!!!!!!!! u hali gani mida hii???????
 
Alikaimu wizara yako ya kufukunyua post za nyuma! Japo zimefutwa natamani uziweke tena maana ni za kuchekesha! Rest in Ban amu!

mie zile ninazo long time... zipo kwenye files zangu bado.. nikuziweka hapa naweza kumfata amu huko aliko.
 
Last edited by a moderator:
nimejaribu kutafuta huo ugomvi toka page 1 mpaka mwisho hata siuoni,inaonekana wana mmu wamezoea maneno laini laini sana.

post za ugomvi zimefutwa utazitafuta hadi kesho kutwa huzioni.page by page huoni kitu.
 
Seven foolish reasons of marrying!

1. You are desperate,
2. Vengeance, may be to your ex-
3. Vogue - popular, every body gets married,
4. You are forced by pregnancy,
5. You're hiding your true colour. E.g. A male who is eunuch wants to marry from a family or societal pressure,
6. You're only attracted by physical appearance,
7. You're tired of mom & dad, so you want to get rid of home environment.

Marriage is about sacrificial love & commitment! Don't dream to find a perfect mate while you're not mr. or ms perfect!
 
Wasalaam wana MMU,

Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana ...

Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?
Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa?
Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi",
kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi???

Msimamo wangu:
1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi

2.Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda

3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa

4.Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa

5.Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion
( ndoa sio fashion)

6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nop

Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.

XoXo

Sidhan ka wewe ndo unayekataa kuolewa, bali wakishachapa wanalala mbele, bado hujajua tatizo lako tu.

Nachojua mimi akitokea mwanaume zezeta, mwenye hele zake, kila kitu kwake ni yes yes, utakubali kuolewa tu ili utoe nuksi.
 
Seven foolish reasons of marrying!

1. You are desperate,
2. Vengeance, may be to your ex-
3. Vogue - popular, every body gets married,
4. You are forced by pregnancy,
5. You're hiding your true colour. E.g. A male who is eunuch wants to marry from a family or societal pressure,
6. You're only attracted by physical appearance,
7. You're tired of mom & dad, so you want to get rid of home environment.
Marriage is about sacrificial love & commitment! Don't dream to find a perfect mate while you're not mr. or ms perfect!

hapo na saba tired of dad and mom wao bila kia pamoja wangekupata au ndo walipeana mimba mitaani?acheni u selfish bwana ingekua si lazma kuishi pamoja hao wazazi tungewatoa wapi...!
 
halafu mtu anadanganya JF! kaah

Inaonesha hizi story nyingi za huyu Dada huwa anajitungia tu na kuzileta hapa.
Mimi nitaendelea kuwa mtoa comment na msomaji pale pasipo na umuhimu wa kukomenti.
Sitaweka uzi hapa hadi pawe na umuhimu sana na huo uzi hautahusisha maisha yangu wala ya ndugu, nikiweka nimeweka taarifa tu
 
Duh kumbe kuna habari zimefutwa hapa eeeeh, jamani mwenye nazo azirudishe basi.
Kumbe ilikuwa hot sana hiyo jana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom