Catherini
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 390
- 154
Dah uongo ni kitu kibaya sana duniani, bora uwe msema ukweli
halafu mtu anadanganya JF! kaah
Dah uongo ni kitu kibaya sana duniani, bora uwe msema ukweli
Alikaimu wizara yako ya kufukunyua post za nyuma! Japo zimefutwa natamani uziweke tena maana ni za kuchekesha! Rest in Ban amu!
masikini Rapunzel!!!!!!!!!! u hali gani mida hii???????
nimejaribu kutafuta huo ugomvi toka page 1 mpaka mwisho hata siuoni,inaonekana wana mmu wamezoea maneno laini laini sana.
ila yule dada amu hana kosa jamank afu hata hakutaka ugomvi ghafla akatajwa kwa jina halisi mi hoi sikulala jana mpaka mtanange umeisha...
post za ugomvi zimefutwa utazitafuta hadi kesho kutwa huzioni.page by page huoni kitu.
nani alitajwa kwa jina halisi.
Society always shapes us..weather we like it or not ..for good and bad..
Wasalaam wana MMU,
Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana ...
Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?
Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa?
Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi",
kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi???
Msimamo wangu:
1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi
2.Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda
3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa
4.Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa
5.Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion
( ndoa sio fashion)
6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nop
Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.
XoXo
Seven foolish reasons of marrying!
1. You are desperate,
2. Vengeance, may be to your ex-
3. Vogue - popular, every body gets married,
4. You are forced by pregnancy,
5. You're hiding your true colour. E.g. A male who is eunuch wants to marry from a family or societal pressure,
6. You're only attracted by physical appearance,
7. You're tired of mom & dad, so you want to get rid of home environment.
Marriage is about sacrificial love & commitment! Don't dream to find a perfect mate while you're not mr. or ms perfect!
Halafu siku hizi nahisi kuna mode mpya, yani mkirushiana maneno kidogo tu mnakula ban...
atakua hoi inabidi arudishe zile asante alizokuwa anapewa na wadau.
amu ndo alitajwa kwa jina halisi na zikataka zitumwe picha zake jukwaani
halafu mtu anadanganya JF! kaah