Ha ha ngoja aje mbona nitawekea sticky lol
amu umenipa rahaaaa mara gafla leo hajaolewa wadogo zake ndo wameolewa, kavurugwa hana lolote huyo..Husninyo uko wapi shogaaaa naona kwny post yake ulicomment
hahaha ndo maana kuna mtu mmoja ana signature inasema "usiamini kila ninachopost Jf"
shosti kwa makavu nimekuvulia kofia.
hahahaha!!! hili nalo neno. kuna wanaume ni wasweet jamani. unatamani kuwa nae mda wote, ukitangaziwa ndoa misimamo yako yote unaweka kando.
Ha ha kweli kabisa humu leo mtu anasema mke wa mtu kesho single mom keshokutwa kaokota mwanaume humu wamegegedana weee wakafumaniana another kantrii mtondogoo wanayatimisha watoto wiki ijayo wanapeana 10 m kesho yake inakuja kuwekwa humu.
Jana ya katikati masomoni bollywood na kina Amita...
Aaaa ngoja nilale mie.
lol mnamtamanisha mwenzenu jaman,. sipati picha anavosoma hizi comments Rapunzel anajisikiake kimoyoni moyoni acha tu ile ya kujikaza kisabuni hah hah ndoa ina raha yake banah ..
Its wheather boss!
But you made a good point...
Si sisi, ni jamii tu ndiyo inayoamua tuwe nini wakati mwingine.
nipo shogangu! naona amu kapasua jipu. kama namuona bidada sahv anasoma comments zetu kwa jicho moja. lol!
hivi aibu yake aibu yetu?
naona inakuuma ulivyokuwa unajitutumuwa kutoa ushauri kwenye zile thread za mwanzo.
hahahaha!!! kumbe shosti kashatendwa na mahusiano mpaka mwenyewe kasema k imekuwa ya baridi. lol! yaani uskute humu ndani mi na wewe tu ndo wakweli.
Ndo maana nlisema hajapata wa kumuoa ana stress..wote wanapiga wanasepa..hata hyo serious relatnshp ile ya kuulizwa baby u slipin olrdy? Pengine hanaaa..ndo maana kutwaa anatunga story ajifariji...hheee eeehh ngoja nilale kanikera huyu hlf cjui nimekasirika nini kkiiirrruuuu
wala hainiumi matola ila anadeserve kupata anachokipata sahv. acha tumpe haki yake. au sio shem!?