Sitaki kuolewa

Sitaki kuolewa

Kimenuka Na Uzi Uko Huku Jamani Kuna Nini Kati Ya Rapunzel Na amu Mbona Naona Kivumbi lara 1 Njoo Usuluhishe Huku...
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha ada yenyewe mwaname alisema kamchangia humu ndani.
Ha ha shosti mi India naenda kula Jerebi tu darasani kwangu failers wote walienda India na Malaysia.
Wengine mie nliwasaidia kutengeneza cheti za form 6 wakasome wakapoteze mda huo.

halafu nimegundua india kuna vyuo vinatoa bcom matusi.
 
nasikitika kuona wsogombana wote nahusiana nao.

Afu sababu mie kimbaombao hata hawasikii nikiwaamulia.

Am too old ujue?

we wifi yake mtu vipi kumziba mdomo amu? unatunyima uhuru wa kutype bana.
 
Last edited by a moderator:
kusoma nje deal shogangu ila inategemea umesoma kwa msaada wa loan board au kwa pesa yako mwenyewe!!!
sina uhakika kama kusoma india napo deal.... lol! nahisi wahindi walikuwa hawapumui huko.

Ni deal moja wapo tena kwa kusoma bila ya mkopo
Kwa nini wasipumue? Asiyepumua huyo mchafu koge
 
Umeiona fursa hiyo dogo?

Ikamate basi twen zetu...lol!!

Babu DC!!

babu huu ni uchochezi sasa, am engaged with Lara 1 already na nashukuru leo kalala mapema otherwise ungenisababishia kununiwa bure.

mimi nilisifia tu mistari yake but not otherwise mkuu.

merci olevouir.
 
nasikitika kuona wsogombana wote nahusiana nao.

Afu sababu mie kimbaombao hata hawasikii nikiwaamulia.

Am too old ujue?

mmnyamazishe wifi yako sasa, kaka yako akipita huku msije mkatuletea threads zingne za kuombana msamaha! how old are u?
 
Ni deal moja wapo tena kwa kusoma bila ya mkopo
Kwa nini wasipumue? Asiyepumua huyo mchafu koge

wacha weeee! hukujarbu kudate na muhind mmoja unambie kama wana vibamia au mahogo ya jang'ombe!! ulikuwa unasoma nini?
 
Tukana utukanavyo ila hujaweka tusi jipya bado.
Ya kwako ni ya zamani.
T

Mie nauza kwa wa bongo wenye nguvu zao do maana siweweseki kama wewe mwenye kuuza kwa vibamia vya kihindi visivyo na nguvu.
Upo hapo?

kuna nini kinaendelea hapa?
 
Eeeeh kigodoro a.k.a kimkeka kimeanza, silali mie leo mbona hahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
I hate it with all my heart, mie mtu akini attack kwa maneno nasepa fasta, labda tupige mkono atakayeshindwa adabu mbele kama tai.

Tena hiyo ya fist fight ndo naipenda zaidi maana kuna kuvutana nywele (ole wako uwe umevaa wigi au umeshonea weave la bei rahisi) na kuchaniana nguo.

Napenda kuona vi-top vinachanwa ili nione nyonyoz teh teh teh.....yaani huwa nikikuta wachuchuz wameshikana mashati wala huwa siamulii...nawaacha kwanza wachaniane nguo nifaudu halafu ndo naamulia.

I know...I know....I'm bad.
 
Hey Rapunzel shout ur front door and come private and tell what's ----in goin on here
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom