Nimeipenda bure comment yakoMzee wangu alikua anakunywa kistaarabu, sahv hanywi, mama alikua anagusagusa kidogo, so kunywa ni normal, na wamenisomesha hadi nikaunguza vitabu so hamna kitu kipya nitakachoona kwa mwanaume anayekunywa, km hana maadili ni yeye tu alone, usiunganishe wote, ni km kusema wanawake wote malaya just kwasababu dem wako umemfumania
Nadeclare interest napiga majiMzee wangu alikua anakunywa kistaarabu, sahv hanywi, mama alikua anagusagusa kidogo, so kunywa ni normal, na wamenisomesha hadi nikaunguza vitabu so hamna kitu kipya nitakachoona kwa mwanaume anayekunywa, km hana maadili ni yeye tu alone, usiunganishe wote, ni km kusema wanawake wote malaya just kwasababu dem wako umemfumania
Na sisi tunaokunywa Ijumaa tu glass moja.
Michezo tunacheza ila hatufuatilii. Sijui hata first eleven ya Chelsea... Ila nacheza michezo ya mipira.
-Sio mtu wa wanawake.
unaniweka kundi gani?
Mimi sinywi pombe kabisaaa,ngoja nikuje mamaaa!!!Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa.wanawake waliiolewa Na walevi wanapata tabu sana.bora niendelee kupiga miayo.
Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya me mke mwema ,namtoa out namnunulia pombe wee .from there najua nimsave au nimdelete .
Ila wanaume wa dar mnapenda pombe jamani.mtakuja kufumuliwa marinda nyie.
Mlevi hapana .sitaki kabisa.sijui umeamka?
Nimelipenda jina lako.hahahahahahaha aisee
Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa.wanawake waliiolewa Na walevi wanapata tabu sana.bora niendelee kupiga miayo.
Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya me mke mwema ,namtoa out namnunulia pombe wee .from there najua nimsave au nimdelete .
Ila wanaume wa dar mnapenda pombe jamani.mtakuja kufumuliwa marinda nyie.
Mlevi hapana .sitaki kabisa.sijui umeamka?
Wachache sana hongera
karibu😛Nimelipenda jina lako.
😀😀😀😀
Asante kwa ukaribisho. Sijaoa na mimi sio mlevi naruhusiwa kuendelea??karibu😛
A
Asante kwa ukaribisho. Sijaoa na mimi sio mlevi naruhusiwa kuendelea??
Wow kumbe ni mzoefu wa ndoa. We ndio unafaa kabisa kwangu maana sifa yangu kuu ni uvumilivu na ntakuvumilia kwa yote. Na sifa yangu nyingine ni kutokua na hasira hivyo nina uhakika kabisa kuwa nitastick na wewe. Hilo ondoa shaka. Mengine naomba tuhamie PM tukäyajenge.nilibahatika kuolewa na kuachika,nikaolewa tena nikaachika,nikaolewa ndoa ya 3 nimeachika jana rasmi!wewe ni nani uweze kustick na mm😡😡😡😡😡😡🙁🙁🙁🙁
Wow kumbe ni mzoefu wa ndoa. We ndio unafaa kabisa kwangu maana sifa yangu kuu ni uvumilivu na ntakuvumilia kwa yote. Na sifa yangu nyingine ni kutokua na hasira hivyo nina uhakika kabisa kuwa nitastick na wewe. Hilo ondoa shaka. Mengine naomba tuhamie PM tukäyajenge.