Sitaki kabisa mume mlevi

Sitaki kabisa mume mlevi

"Mlevi hapana sitaki kabisa?!!"
Kumbe bado unajiuliza swali, sawa!
 
Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa. Wanawake waliiolewa na walevi wanapata tabu sana bora niendelee kupiga miayo.

Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya mimi mke mwema, namtoa out namnunulia pombe wee from there najua nimsave au nimdelete.

Ila wanaume wa Dar mnapenda pombe jamani. Mtakuja kufumuliwa marinda nyie.

Mlevi hapana sitaki kabisaaa?!!
hata kama naonja tu?
 
Hahahahahahaaa babuuu, nilifika salama salimini na kazi imepamba motoo.
Safi sanaaa...

Babu bado niko napambana na kale kajamaa. Japokuwa kananiletea usumbufu sana asubuhi sitakaacha ng'oo. Jana nimekafakamia hapa najipooza na maji baridiiii
 
Safi sanaaa...

Babu bado niko napambana na kale kajamaa. Japokuwa kananiletea usumbufu sana asubuhi sitakaacha ng'oo. Jana nimekafakamia hapa najipooza na maji baridiiii

Hahahahahahaaa babuuu kwa raha zako kama nakuona.
 
Hahahahahahaaa babuuu kwa raha zako kama nakuona.

Tartiiiiibuuu....!

1537790489989.png
 
Aahahahahhahaaa hakyanani, ngoja nimuite Sky Eclat aje kukuchukua hapo ulipoanza looh.

Hiyo kitu wangeifanyia drip style I naingia moja kwa moja kwenye damu....

Hiyo ingeleta balaa... maana tungeshindwa hata kutimiza wajibu wetu

1537790910437.png
 
Ndiyo hapo, hata mimi mtu mlevi simuwezi!! mtu anywe hata kwa mwezi mara 1 na kwa staha.... sio kila weekend pombe utafikiri ana hisa TBL.
Sisi wengine tunakunywa kila siku lakini sio walevi ni mazingira tu yanasababisha
 
Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa. Wanawake waliiolewa na walevi wanapata tabu sana bora niendelee kupiga miayo.

Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya mimi mke mwema, namtoa out namnunulia pombe wee from there najua nimsave au nimdelete.

Ila wanaume wa Dar mnapenda pombe jamani. Mtakuja kufumuliwa marinda nyie.

Mlevi hapana sitaki kabisaaa?!!
je wale ambao wanakunywa but hawalewi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom