jingus
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 472
- 317
UsijaliNitakutest Na konyagi kubwa mbili
UsijaliNitakutest Na konyagi kubwa mbili
Mlevi. Mlevi hasa pahala popote ni choo!Ninachokijua Mimi kuna mlevi na mnywaji, sasa ww kati yao humpendi yupi
hata kama naonja tu?Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa. Wanawake waliiolewa na walevi wanapata tabu sana bora niendelee kupiga miayo.
Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya mimi mke mwema, namtoa out namnunulia pombe wee from there najua nimsave au nimdelete.
Ila wanaume wa Dar mnapenda pombe jamani. Mtakuja kufumuliwa marinda nyie.
Mlevi hapana sitaki kabisaaa?!!
Hahahaha mtakatifu nyau naona unajipigia promo kiaina. Ukifanikiwa nistue nami nijaribu bahati yangu
Safi sanaaa...Hahahahahahaaa babuuu, nilifika salama salimini na kazi imepamba motoo.
Mwanaume kama hunywi pombe, hupendi mpira, hupendi mitoko basi jifunze na kufuma vitambaa.

Hahahaha mtakatifu nyau naona unajipigia promo kiaina. Ukifanikiwa nistue nami nijaribu bahati yangu
Safi sanaaa...
Babu bado niko napambana na kale kajamaa. Japokuwa kananiletea usumbufu sana asubuhi sitakaacha ng'oo. Jana nimekafakamia hapa najipooza na maji baridiiii
Aahahahahhahaaa hakyanani, ngoja nimuite Sky Eclat aje kukuchukua hapo ulipoanza looh.
Hiyo kitu wangeifanyia drip style I naingia moja kwa moja kwenye damu....
Sisi wengine tunakunywa kila siku lakini sio walevi ni mazingira tu yanasababishaNdiyo hapo, hata mimi mtu mlevi simuwezi!! mtu anywe hata kwa mwezi mara 1 na kwa staha.... sio kila weekend pombe utafikiri ana hisa TBL.
je wale ambao wanakunywa but hawalewi?Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa. Wanawake waliiolewa na walevi wanapata tabu sana bora niendelee kupiga miayo.
Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya mimi mke mwema, namtoa out namnunulia pombe wee from there najua nimsave au nimdelete.
Ila wanaume wa Dar mnapenda pombe jamani. Mtakuja kufumuliwa marinda nyie.
Mlevi hapana sitaki kabisaaa?!!